thehunk
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 527
- 221
Kuku wangu wameanza kutaga,lakini cha kushangaza inaweza kupita siku kadhaa hawatagi, yaani usipowafungia bandani kwao basi ndio kabisa hawatagi. na uchunguzi nilioufanya nimegundua wanataga kwa jirani yangu na jirani ameuchubua.
Wakati natafakari hili ndio ikanijia kumbukumbu ya kwamba zamani nilikuwa na tabia ya kwenda porini kutafuta mayai ya kanga na sio kwamba ni kanga pori hapana ila wakufugwa lakini mara nyingi walikuwa wanatagia porini kuna saa hata mayai ya kuku unaweza ukayakuta.na nikawa nayachukua na bila kutoa taarifa kwa mmiliki.
Na hapo ndio nikaamini kweli malipo ni hapa hapa duniani
Wakati natafakari hili ndio ikanijia kumbukumbu ya kwamba zamani nilikuwa na tabia ya kwenda porini kutafuta mayai ya kanga na sio kwamba ni kanga pori hapana ila wakufugwa lakini mara nyingi walikuwa wanatagia porini kuna saa hata mayai ya kuku unaweza ukayakuta.na nikawa nayachukua na bila kutoa taarifa kwa mmiliki.
Na hapo ndio nikaamini kweli malipo ni hapa hapa duniani