Hapo hapo pameandikwa kwa juu kwenye bat KiNG MSUKUMA sijui kama ilikuwa nyumba ya selikar au labda magufur alimuuzia akiwa wazirPale si zilikuwa nyumba za serikali au walimuuzia? napajua, pembeni kuna fuso zinapaki nyingi.
Zile nyumba zilikuwa ni za serikali walikuwa wanaishi watumishi wa umma. Itakuwa aliyeuziwa na serikali na yeye kumuuzia JoseHapo hapo pameandikwa kwa juu kwenye bat KiNG MSUKUMA sijui kama ilikuwa nyumba ya selikar au labda magufur alimuuzia akiwa wazir
Nahis itakuwa lakin nilikuwa sijui kama kishawahi kuwa cha selikar ngoja nimushawish mshua wangu tukinunue maana kuna wakati kulikuwa kuna kiwanja kilikuwaga kinauzwa hapa mjin nikamshawish baba tukakinunuaZile nyumba zilikuwa ni za serikali walikuwa wanaishi watumishi wa umma. Itakuwa aliyeuziwa na serikali na yeye kumuuzia Jose
Hongera msukuma kwa kuweza kukopeshekaDar es Salaam. Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kupitia kampuni ya udalali ya LJ International Ltd imetangaza kuzipiga mnada mali za Mbunge wa Geita Mjini, Joseph Kasheku maarufu kama Musukuma.
Mali zilizotajwa kupigwa mnada ni pamoja na kiwanja Na.275 Block kilichopo Mbezi Dar es Salaam na kiwanja Na.’2’ block ‘A’kilichopo Korogwe mjini.
Mali nyingine ni shamba Na.201 liliolopo kijiji cha Igate Mkoani Geita, kiwanja Na. 116 block A Buswelu Kaskazini na kiwanja Na. 48 block T katikati ya jiji la Mwanza.
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Benki ya NBC, William Kalage amesema ni kweli mali hizo zinapigwa mnada.
“Ni kweli tumetoa tangazo na sisi ndiyo tumeipa kazi hiyo kampuni ya udalali kupiga mnada mali hizo,” amesema
Mbali na Musukuma, kampuni ya LJ International Ltd pia imetangaza watu 19 wanaodaiwa na benki hiyo ambao mali zao zitanadiwa.
Hata hivyo Musukuma hakupatikana kwa njia ya simu kuzungumzia suala hilo. Hivi karibuni mwanasiasa huyo amekuwa akimpigia kampeni mgombea ubunge wa jimbo la Monduli kwa tiketi ya CCM, Julius Kalanga.
Hizo nyumba zote unazoziona hapo, kuanzia ile ambayo imepakana na lile ghorofa sijui la chuo gani vile, naamisha zilipo ofisi za Isamilo bus hadi kule mwisho kwenye ofisi za Saratoga na Adventure zilikuwa nyumba na JMT ila waliuziwa.Nahis itakuwa lakin nilikuwa sijui kama kishawaha kuwa cha selikar ngoja nimushawish mshua wangu tukinunue maana kuna wakati kulikuwa kuna kiwanja kilikuwaga kinauzwa hapa mjin nikamshawish baba tukakinunua
Aisee lile jengo la kile chuo ni la msukuma mmoja anaitwa igembe nsabo sasa kwanini selikal yetu ni ya kipuuz hivyo kwanini iuze maeneo mazur kama hayoHizo nyumba zote unazoziona hapo, kuanzia ile ambayo imepakana na lile ghorofa sijui la chuo gani vile, naamishi zilipo ofisi za Isamilo bus hadi kule mwisho kwenye ofisi za Saratoga na Adventure zilikuwa nyumba na JMT ila waliuziwa.
Haaaa behind the scene mkuuKumbe ni ka jambazi
Ilikuwa kipindi cha Rais wetu Mkapa walipofikia maamuzi ya kuuza nyumba za serikali, labda walikuwa na nia njema tuAisee lile jengo la kile chuo ni la msukuma mmoja anaitwa igembe nsabo sasa kwanini selikal yetu ni ya kipuuz hivyo kwanini iuze maeneo mazur kama hayo
Oky labda huwez jua lakin mimi namhurumia msukuma kile kiwanja kipo mahal pazur sana angekuwepo mzee shinyanga sipati picha angekinunua kwa sh ngap maana yule mzee yeye alikuwa ana dil na viwanja kama hivyoIlikuwa kipindi cha Rais wetu Mkapa walipofikia maamuzi ya kuuza nyumba za serikali, labda walikuwa na nia njema tu
Iv jengo linalosemwa ni la makonda hapa mjin ni lipiIlikuwa kipindi cha Rais wetu Mkapa walipofikia maamuzi ya kuuza nyumba za serikali, labda walikuwa na nia njema tu
Labda wame calculate depreciation wakaona hela yao haitarudikwanini wasipige mnada mabasi yake!
Wanasema eti liko kule karibu na daraja la wamasai wanapouzia dawa zao (near Liberty) ila mimi sijafuatilia kusema kweliIv jengo linalosemwa ni la makonda hapa mjin ni lipi
Ok nishalijua lakin sizan kama ana uwezo wa kushusha mjengo kama huoWanasema eti liko kule karibu na daraja la wamasai wanapouzia dawa zao (near Liberty) ila mimi sijafuatilia kusema kweli
Mie sijapita huko, hata sijui liko sehemu gani? au karibu na Majukano?Ok nishalijua lakin sizan kama ana uwezo wa kushusha mjengo kama huo
na kweli maana yale yemisha kabisaLabda wame calculate depreciation wakaona hela yao haitarudi