Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,472
- 12,887
Malcom x alikua anatuchanganya sisi wabantu.Haiwezekani unatuambia tuachane na tamaduni za kizungu na tuache dini za kizungu na taratibu za maisha ya kizungu.
Afu wakati huo huo unatushauri tufuate dini na tamaduni na taratibu za maisha za Kiarabu. Hana tofauti na Martin Luther jr ambae alikua anapromote uzungu wa Kimarekani na imani za kiluther kwa wabantu, au Elijah Muhammad na itikadi zake za kiarabu kwa wabantu wa amerika ya kaskazini.
Wewe kama kiongozi wa kibantu basi ulipaswa uwashawishi wabantu warejee kwenye ubantu wao na tamaduni za kibantu na dini za kibantu na mila na desturi zao.
Sasa kiongozi wa kibantu afu una jina la kiarabu na imani ya kiarabu ,sisi tukuelewe vipi.
Kiongozi wa wabantu afu hauna motisha ya kuunadi ubantu wetu dhidi ya jamii nyingine duniani sisi tukueleweje?
Ndio maana kwa watu tunaojielewa tulikua tunaona na kujua Malcom x na Martin luther king walifeli kutuunganisha wabantu, na walikua wanapromote tamaduni nyingine katika ubantu wetu.
UNAPOTAKA KUTUUNGANISHA SISI WABANTU USITUMIE DINI ZA WAKOLONI KUTUUNGANISHA, HAPO LAZIMA UTATUGAWA NA NDIO KILICHOTOKEA KWA WABANTU WA AMERIKA KASKAZINI.
Malcom x alikosea au alipata mafunzo yasiyo sahii kuhusu ubantu na alikua anatupoteza kuhusu utambuzi wetu wa ubantu wa mababu zetu. Wabantu sisi tunaunganishwa na ubantu wetu na mila na desturi za babu zetu wa kibantu,toka kizazi mpaka kizazi kupitia koo zetu za makabila mbalimbali.
Na kutokana na kufeli huko, kulimsababishia kueleweka kwa wale wabantu wa pan Africanism ambao tuna imani zetu katika ubantu wetu.
NB: Wabantu tuna asili ya kujikataa na kukataa asilia zetu na kudharau rangi ya ngozi zetu na kutokana na kukandamizwa zaidi ya karne tano na jamii nyingine hapa duniani, tumejikuta tulikua wanyonge wa kiakili na kiimani na kitamaduni dhidi ya jamii za watu wenye rangi za ngozi tofauti na zetu.
Afu wakati huo huo unatushauri tufuate dini na tamaduni na taratibu za maisha za Kiarabu. Hana tofauti na Martin Luther jr ambae alikua anapromote uzungu wa Kimarekani na imani za kiluther kwa wabantu, au Elijah Muhammad na itikadi zake za kiarabu kwa wabantu wa amerika ya kaskazini.
Wewe kama kiongozi wa kibantu basi ulipaswa uwashawishi wabantu warejee kwenye ubantu wao na tamaduni za kibantu na dini za kibantu na mila na desturi zao.
Sasa kiongozi wa kibantu afu una jina la kiarabu na imani ya kiarabu ,sisi tukuelewe vipi.
Kiongozi wa wabantu afu hauna motisha ya kuunadi ubantu wetu dhidi ya jamii nyingine duniani sisi tukueleweje?
Ndio maana kwa watu tunaojielewa tulikua tunaona na kujua Malcom x na Martin luther king walifeli kutuunganisha wabantu, na walikua wanapromote tamaduni nyingine katika ubantu wetu.
UNAPOTAKA KUTUUNGANISHA SISI WABANTU USITUMIE DINI ZA WAKOLONI KUTUUNGANISHA, HAPO LAZIMA UTATUGAWA NA NDIO KILICHOTOKEA KWA WABANTU WA AMERIKA KASKAZINI.
Malcom x alikosea au alipata mafunzo yasiyo sahii kuhusu ubantu na alikua anatupoteza kuhusu utambuzi wetu wa ubantu wa mababu zetu. Wabantu sisi tunaunganishwa na ubantu wetu na mila na desturi za babu zetu wa kibantu,toka kizazi mpaka kizazi kupitia koo zetu za makabila mbalimbali.
Na kutokana na kufeli huko, kulimsababishia kueleweka kwa wale wabantu wa pan Africanism ambao tuna imani zetu katika ubantu wetu.
NB: Wabantu tuna asili ya kujikataa na kukataa asilia zetu na kudharau rangi ya ngozi zetu na kutokana na kukandamizwa zaidi ya karne tano na jamii nyingine hapa duniani, tumejikuta tulikua wanyonge wa kiakili na kiimani na kitamaduni dhidi ya jamii za watu wenye rangi za ngozi tofauti na zetu.