JIULIZE KWANZA
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 2,569
- 499
kuna mmalawi mmoja ameandika hivi mtandaoni.........
"Tanzania is claiming half of lake Malawi. I've seen several comments/ tweets of "let's just go to war." Haha really? You & what army?"
Wanajua hazina kuna coins tuu Ndio maana wanaandika ivo isitoshe wakina mura wamejenga vitambi tuu hapo Kenya hawajaja na Kilimanjaro Yao waganda na bukoba Yao Jk atamaliza vibaya waziri wa ulinzi Malawi amesema tz haina power kuzuia itafiti wa Mafuta wakati membe anasema wasimame Mara moja kazi ipo Jk kupigana na mwanamke