Kun Jr
JF-Expert Member
- May 29, 2013
- 700
- 361
Nimetapeliwa laki na themanini muuzaji wangu akapotea hewani moja kwa moja. Sijui nifanyeje hapa nilipo najipooza tu.
Dah! nimeingia cha kike bila kujijua..
========
Malalamiko mengine zaidi...
Ushauri kwa operators wa KUPATANA
Dah! nimeingia cha kike bila kujijua..
========
Malalamiko mengine zaidi...
Habari zenu WanaJF,
Leo ndo nimeelewa kwamba kupatana.com ni mtandao wa kitapeli baada ya ndugu yangu kutapeliwa laki moja ambayo nimemkopesha mimi.
Jamaa yangu alikuwa na shida ya laptop used ndo akaingia kupatana kuangalia kama anaweza kupat.ndo akapata apple macrobook kwa sh 200,000/= mpya kabisa kwa mujibu wa tangazo.akawa ameipenda kafanya mawasiliano na muuzaji ambaye yuko Iringa yeye Dodoma.
Wakakubaliana atume advance ambapo pesa nyingine atamalizia akpokea mzigo kwa njia ya bus ila cha kustaajabsha pesa imetumwa mpaka sa hivi hamna mawasiliano kati ya mteja na muuzaji.
Ushauri kwa operators wa KUPATANA
Ningependa ku bring this up kwa operators wa site ya kupatana.com kwamba kuna watu wanaiua ile site na kuondoa credibility yake kwa kuwa idad ya matapeli wamekua wengi kupatana.com. Sa sijui hawa matapeli wamewa notice na kuwachukulia hatua gan coz at the end of the day wao nao pia wana-lose visit kwenye site yao.
NB: Najua kwamba wao wametoa precaution kuwa usitumie mtu pesa bila kuuona mzigo wako na pia najua hawahusiki kwenye sales zozote.
I think operators wa kupata ni vyema wangekua wanazifuta ads za hao matapeli coz waziwazi na mtu asiemjanja anaweza kunaswa kwenye mtego kirahisi.
I also recommend kwamba waweke option ya ku-report tangazo lolote la kitapeli ili wao waweze kutambua hayo matangazo na kuyafuta pia hata kufuta accounts za hao matapeli..
Au wadau mnaonaje?!