Malalamiko mbalimbali kuhusu mabadiliko ya vifurushi yaliyofanywa na mtandao wa Tigo kwa mwaka 2020

Kubomoa rahisi kuliko kujenga. Wenzio wamehangaika mpaka hapo unapoiona Tigo eti leo ukurupuke na OTT yako. Mitandao iko mingi hama.

Hata mimi sio mtumiaji wa Tigo zaidi ya TigoPesa, niliwaacha kimya kimya wengine waendelee
 
Ananilisha Mama Yako Nahisi
Kutumia Account Isio Kutambulisha Au Kumtambulisha Mwingine Isiwe Sababu Ya Kudharauliana

Huwenda Nikakulisha wewe Na Mkeo Au Mmeo Kama Wakiume Au Wakike
Acha Mdomo
Sasa wew ambaye huna hata kazi na umepauka unakuja na ujinga Kama huuu nani atakusikiliza Kama unataka kuhama hama kimya kimya sio lazima upige kelel haya ndo matatizo yakutokuwa na kazi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu salam za asubuhi hope ziko poa kwenu na mmeamka salama ila mimi hapana nimelala kwa taabu sana jana na joto la jiji hili.

Kisa hawa Tigo wametubadilishia vifurushi na kuweka gharama juu isio mkidhi mlaji. Lakini bado hawajachoka sasa hivi wamekuja na mpya

Unanunua kitu kupitia Tigopesa na pesa ipo ila unaambiwa huna salio la kutosha nimenunua umeme jana asubuhi hadi leo kimya kikuu. Ukipiga numbers zao wapo busy kibaya taarifa za mabadiliko hawajatoa wala nini sasa kilichobaki sasa hivi.

Nikuja na #hashtag #ott operation tokomeza Tigo. Kama wana hasira na line zao kuwekwa ban ni jukumu la kudeal na Serikali sio Wananchi walalahoi.

View attachment 1339200

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hakuna mitandao yenye gharama kama Tigo na Voda lakini serikali imebaki kukomaa na kusajili line zao. Lazima serikali itambue sasa kuwa mfumuko wa bei za vifurushi katika makampuni ya simu athari zake hazina tofauti na mfumuko wa bei za vyakula. Maendeleo ya kiteknolojia yamefanya simu kuwa kitu muhimu sana kwa mwanadamu,hivyo basi vyombo husika visimamie mifumuko ya hovyo ya bei katika mitandao ya simu
 
Kbs Mkuu Ila Kunawatu Humu Kisa Wanaishi Kwa Kodi Zetu Wanaropoka Tu Wanavyo Jisikia

Hawaoni Mama na Bibi Zetu Huko Bush Wanavyo pata Tabu Kwa Haya
Mkuu hakuna mitandao yenye gharama kama Tigo na Voda lakini serikali imebaki kukomaa na kusajili line zao. Lazima serikali itambue sasa kuwa mfumuko wa bei za vifurushi katika makampuni ya simu athari zake hazina tofauti na mfumuko wa bei za vyakula. Maendeleo ya kiteknolojia yamefanya simu kuwa kitu muhimu sana kwa mwanadamu,hivyo basi vyombo husika visimamie mifumuko ya hovyo ya bei katika mitandao ya simu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu ambae uko makini na maisha yako unawezaje kutunia mitandao ya kiswahili kama tigo? Watu hamko serious kabisa.

Tatizo ni kua watu wengi tunapenda vitu rahisi huku rahisi ikiwa ni gharama sana.

Tigo ni mtandao ambao sio reliable kabisa, unaweza kumpigia mtu toka asubuhi hadi jioni unaambiwa hapatikani kumbe yuko hewani na mtandao unasoma umejaa.

Mimi mitandao ya kiswahili kama tigo hata unipe ofa ya note 10+ na kifurushi cha bure miaka 5 sichukui.
 
Tunafanya maboresho katika Mtandao kuongeza ubora wa huduma. Unaweza kushindwa kupata baadhi ya huduma. Samahani kwa usumbufu. Tutakujulisha huduma itakaporejea


Walituma jana hiyo.
 
Asee Tigo waliwahi kuni tapeli elfu 10 yangu inaniuma hadi Leo. Yani Hawa mbwa nawatumia tu basi Kwa vile Ndio line watu washaizoea halafu sijui hata mtandao gani una afadhali maana voda nao sijawasoma.
 
Wakuu salam za asubuhi hope ziko poa kwenu na mmeamka salama ila mimi hapana nimelala kwa taabu sana jana na joto la jiji hili.

Kisa hawa Tigo wametubadilishia vifurushi na kuweka gharama juu isio mkidhi mlaji. Lakini bado hawajachoka sasa hivi wamekuja na mpya

Unanunua kitu kupitia Tigopesa na pesa ipo ila unaambiwa huna salio la kutosha nimenunua umeme jana asubuhi hadi leo kimya kikuu. Ukipiga numbers zao wapo busy kibaya taarifa za mabadiliko hawajatoa wala nini sasa kilichobaki sasa hivi.

Nikuja na #hashtag #ott operation tokomeza Tigo. Kama wana hasira na line zao kuwekwa ban ni jukumu la kudeal na Serikali sio Wananchi walalahoi.

View attachment 1339200

Sent using Jamii Forums mobile app
Tigo itabaki kuwa juu kileleni.

Hasiyeipenda ahamie TTCL ila sisi wazalendo tupo na TIGO mpaka kieleweke.
 
Back
Top Bottom