nuruyamnyonge
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 4,386
- 2,151
nampongeza.komredi makongoro,kwa kuona mbali, chama cha baba yake siku zake zinaesabika. ukishaona chama chochote duniani kinawapuuza wananchi wake ujue ni chama marehemu mtarajiwa.
Naam naam!! Umesema ukweli mtupu! Wasipomuomba msamaha jaji Joseph Sinde Warioba na kurudisha rasimu njia kuu ccm kinasambaratika kabla ya 2015!
Mwl .Nyerere aliwahi kusema; " watanzania wanataka nabadiliko, wasipoyaona ndani ya ccm watayatafuta nje ya ccm"
Akaenda bali zaidi aliposoma katiba ya Chadema akawaambia ccm kuwa, msiangaike na vyama vingine hiki chama kitakuja kushika dola. Makongoro hongera sana unafuata nyayo za baba yetu wa Taifa.