Makonda ni Shujaa na hajawahi kufuta Kauli yake Hii hadharani!

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Feb 20, 2016
14,047
20,411
Mwenezi wa CCM Bwana "Daudi Albert Bashite" al maaruf kama Po Makonda, amekuwa na kauli tofauti tofauti dhidi ya mtu yeyote.
So far kishawazodoa karibu viongozi wote,wa kisiasa na kidini isipokuwa aliyemteua.
Unakumbuka kauli ipi kwa kiongozi yupi ?
Nukuu tafadhali!
 
Back
Top Bottom