Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Ujumbe huu nivema akaupata makonda nadhani kuna jambo atajifunza.
Ila kwakweli tumejisikia vibaya kwa wewe kutokwepo siku hiyo ya kukumbukwa.
Ila kwakweli tumejisikia vibaya kwa wewe kutokwepo siku hiyo ya kukumbukwa.
Alhamdulillah sikuwepo lakini nigekuwepo ningekuwa mstari wa mbele kabisa. Ungeniona napiga selfie na kina Kagere na John Boko.
Unafahamu nini alikisema Kagere alipoulizwa ameonaje kuhusu tukio hilo? Kama una ubinaadam hata kidogo basi ungebubujikwa na machozi.
Walioalikwa ni wale ambao wengi wetu huwaita "masikini" na mkuu wa Mkoa ka arrange wale watu maarufu na watu wenye hadhi ndiyo siku hiyo walikuwa wahudumu wao.
Ni jambo kubwa sana lililofanyika na AlhamduliLlah limefanyika mwezi mtukufu, mwezi wa rehma, mwezi wa toba na maghfira. Mwezi ulioteremshwa Qur'an.
Mwezi wa kusameheana, mwezi wa kuwa wenyeyekevu kwa ibada na maisha yetu. Mwezi wa kuelewa mtu akikwambia nna njaa inamaaniaha nini.
Halafu event kama hiyo kutayarishwa na asiye Muislam kujumuisha Waislam na wasio Waislam wenye afya zao na walemavu, wenye hadhi na wasio na hadhi, hakika ni jambo kubwa sana kwa wenye kutafakari japo kidogo.
Hiyo maana yake tunaipata kwenye Qur'an, soma hiyoooo...
Qur'an 3:
64. Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote; wala tusifanyane sisi kwa sisi kuwa Waola Walezi badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudi- eni ya kwamba sisi ni Waislamu. 64
Say: "O People of the Book! come to common terms as between us and you: That we worship none but Allah; that we associate no partners with him; that we erect not, from among ourselves, Lords and patrons other than Allah." If then they turn back, say ye: "Bear witness that we (at least) are Muslims (bowing to Allah's Will).