Mradi wa kulipa fidia wananchi wa Jangwani kupisha mwekezaji una mambo ambayo sio ya kawaida, Waziri wa TAMISEMI, Mchengerwa ametangaza wananchi hao watalipwa sh. milioni 4 lakini kinachoendelea kwenye utekelezaji watu wamesainishwa fomu za kulipwa laki na 70 bila kujali ukubwa wa familia.
zoezi hili Makonda wananchi wanakuomba ujitokeze kwenda kuwasikiliza wananchi wa jangwani wanaopisha eneo hilo ambalo kuna tetesi kuwa anataka kupewa mwekezaji lakini wananchi wananyanyaswa kwa kudhulumiwa fidia na wajanja wa mjini ndani ya serikali.
zoezi hili Makonda wananchi wanakuomba ujitokeze kwenda kuwasikiliza wananchi wa jangwani wanaopisha eneo hilo ambalo kuna tetesi kuwa anataka kupewa mwekezaji lakini wananchi wananyanyaswa kwa kudhulumiwa fidia na wajanja wa mjini ndani ya serikali.