Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,035
Mkaimbie pambio lumande shezi type!ole wenu mje na mapambio na migari ya pesa mbaya, tutawaweka lukopo na magari yenu, ohooooo hooo.
Hata akitaka hayo majina mtakua na povu jingine, katajwa mfalme wenu mbowe sembuse hao???Natumaini kesho nitasikia haya majina;
1 Riz1
2 Lemutuz
3 Salah GSM
4 Kinje
Naona hujamskia magu Leo. Rais anamsapoti makonda Kwa 100%.hakuna cha fidia wala babu Yake fidia tena Kwa wauza ngada.. Never rais amesemaMzee wa kiki @ work.
Ameandaa mabilioni ya kulipa fidia na za kulipia coverage ya kusafisha anaowachafua?
Naona hujamskia magu Leo. Rais anamsapoti makonda Kwa 100%.hakuna cha fidia wala babu Yake fidia tena Kwa wauza ngada.. Never rais amesemaMzee wa kiki @ work.
Ameandaa mabilioni ya kulipa fidia na za kulipia coverage ya kusafisha anaowachafua?
Mhusika analilia na wanachama wakeMbona awamu ya 2 haijakamilika
Au ndo wameshampata mlengwa
nyie hamjamjua, rizmoko wala hatatajwa nia yake ni upinzani, si mlisikia bulaya akisema aliambiwa kuwa atawachafua wapinzani wotezitto,sugu ,Halima mdee, ester bulaya hawatakosekana
Yanayofuatia ni kuoneshana nani ana nguvu, nani mwanamume suruali na nani mwanamume shati! Hakuna cha vita dhidi ya madawa wala nini! Ubabe, ubabe, ubabe - mimi ndiye mkuu wa nchi, mimi ndiye mkuu wa mkoa, basi!Kweli toka hii habari ianze wahusika halisi bado watakuwa wamekaaa kizembekizembe wajikamatishe?
Lazima mfumo wao wote watakuwa wameshauvuruga kupoteza ushahidi na ramani,
Labda ni vita nyingine inaendelea.
usishangae ukaambuwa tundu yumo, ngoyai yumozitto,sugu ,Halima mdee, ester bulaya hawatakosekana
kweli na akaenda akatoka, mbona idd kaenda na kutokaKumtaja sio tatizo, atakutwa na hatia? Anaweza akatajwa ili aonekane hapendelei mtu.