Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,621
- 46,268
Mfumo sahihi wa kusikiliza na kutatua kero za raia ni kupitia madiwani na wabunge, sio katibu mwenezi wa chama cha siasa.
Madiwani wanatakiwa wafanye mikutano ya kusikiliza kero za raia kisha waziwasilishe katika baraza la madiwani, Mkurugenzi au mkuu wa Wilaya.
Pia wabunge wanatakiwa kufanya mikutano na raia wa majimbo yao na kuzichukua kero zao, wao ndio wawasiliane na Mawaziri, wakuu wa wilaya na mikoa, polisi, uhamiaji, wakuu wa mashirika kama TARURA, TANROAD, TANAPA, DAWASCO n.k. Tuzingatie utaasisi na mifumo ilu kujenga nchi bora.
Madiwani wanatakiwa wafanye mikutano ya kusikiliza kero za raia kisha waziwasilishe katika baraza la madiwani, Mkurugenzi au mkuu wa Wilaya.
Pia wabunge wanatakiwa kufanya mikutano na raia wa majimbo yao na kuzichukua kero zao, wao ndio wawasiliane na Mawaziri, wakuu wa wilaya na mikoa, polisi, uhamiaji, wakuu wa mashirika kama TARURA, TANROAD, TANAPA, DAWASCO n.k. Tuzingatie utaasisi na mifumo ilu kujenga nchi bora.