Makolo tushike lipi?

masonya

JF-Expert Member
Mar 12, 2015
973
761
Toka kichapo Cha mbwa Koko makolo mnaongea Kama wehu ebu acheni kuweweseka,ni nini hasa sababu ya kutepeta wakati mvua mali yetu?ni Nini hasa
1.uchawi ,pale walipoonekana Yanga wanamwaga maji ya mwamposa
2.Kocha Bora wa mwezi oktoba Hana uwezo?,kocha mwenye unbeaten 29.amefukuzwa
3.kocha wa viungo hafai? fitness. iko chini.amefukuzwa.
4.usajili mbovu?
5..hujuma za wachezaji? 5.kusimamishwa.
Dunduka hamna uwezo wa kufungia wachezaji waandamizi 5 mtaaibika zaidi.
Mlizoea kubebwa na wale machagudoa hamkustahili kuwepo hata nafasi mliyopo.usajili wenu wa marefa na wachambuzi unaumiza sasa.
 
Toka kichapo Cha mbwa Koko makolo mnaongea Kama wehu ebu acheni kuweweseka,ni nini hasa sababu ya kutepeta wakati mvua mali yetu?ni Nini hasa
1.uchawi ,pale walipoonekana Yanga wanamwaga maji ya mwamposa
2.Kocha Bora wa mwezi oktoba Hana uwezo?,kocha mwenye unbeaten 29.amefukuzwa
3.kocha wa viungo hafai? fitness. iko chini.amefukuzwa.
4.usajili mbovu?
5..hujuma za wachezaji? 5.kusimamishwa.
Dunduka hamna uwezo wa kufungia wachezaji waandamizi 5 mtaaibika zaidi.
Mlizoea kubebwa na wale machagudoa hamkustahili kuwepo hata nafasi mliyopo.usajili wenu wa marefa na wachambuzi unaumiza sasa.
Lilikuwa suala la Muda udhaifu wa Simba kuonekana.
 
Toka kichapo Cha mbwa Koko makolo mnaongea Kama wehu ebu acheni kuweweseka,ni nini hasa sababu ya kutepeta wakati mvua mali yetu?ni Nini hasa
1.uchawi ,pale walipoonekana Yanga wanamwaga maji ya mwamposa
2.Kocha Bora wa mwezi oktoba Hana uwezo?,kocha mwenye unbeaten 29.amefukuzwa
3.kocha wa viungo hafai? fitness. iko chini.amefukuzwa.
4.usajili mbovu?
5..hujuma za wachezaji? 5.kusimamishwa.
Dunduka hamna uwezo wa kufungia wachezaji waandamizi 5 mtaaibika zaidi.
Mlizoea kubebwa na wale machagudoa hamkustahili kuwepo hata nafasi mliyopo.usajili wenu wa marefa na wachambuzi unaumiza sasa.
sawa binti maimuna, tukutane next round this season
 
Back
Top Bottom