Toka kichapo Cha mbwa Koko makolo mnaongea Kama wehu ebu acheni kuweweseka,ni nini hasa sababu ya kutepeta wakati mvua mali yetu?ni Nini hasa
1.uchawi ,pale walipoonekana Yanga wanamwaga maji ya mwamposa
2.Kocha Bora wa mwezi oktoba Hana uwezo?,kocha mwenye unbeaten 29.amefukuzwa
3.kocha wa viungo hafai? fitness. iko chini.amefukuzwa.
4.usajili mbovu?
5..hujuma za wachezaji? 5.kusimamishwa.
Dunduka hamna uwezo wa kufungia wachezaji waandamizi 5 mtaaibika zaidi.
Mlizoea kubebwa na wale machagudoa hamkustahili kuwepo hata nafasi mliyopo.usajili wenu wa marefa na wachambuzi unaumiza sasa.
1.uchawi ,pale walipoonekana Yanga wanamwaga maji ya mwamposa
2.Kocha Bora wa mwezi oktoba Hana uwezo?,kocha mwenye unbeaten 29.amefukuzwa
3.kocha wa viungo hafai? fitness. iko chini.amefukuzwa.
4.usajili mbovu?
5..hujuma za wachezaji? 5.kusimamishwa.
Dunduka hamna uwezo wa kufungia wachezaji waandamizi 5 mtaaibika zaidi.
Mlizoea kubebwa na wale machagudoa hamkustahili kuwepo hata nafasi mliyopo.usajili wenu wa marefa na wachambuzi unaumiza sasa.