Makapuku wengi wanajifariji kwa kuziponda English Medium

The Burning Spear

JF-Expert Member
Dec 23, 2011
3,445
8,300
Ujinga ni mzigo

Ignorance is so expensive.

Kuna watu wamekaririshwa tunasoma tuajiriwe. Maarifa siyo kitu muhimu kwao..

Hakuna mzazi anayepanda kumwona mtoto wake akiteseka, uchumi ndo utalazimu tu kufanya vinginevyo..

Na walioshindwa kuwasomesha watoto wao shule Nzuri huja na vijisababu vya kijinga kijinga hapa kuponda English mediums

Unapomyima mtoto elimu bora hasa Dunia ya leo utakuwa umemkosesha pakubwa sana

Kama kwako ni tía maji tía maji Acha watoto wa wenye nazo wafaidi.

Waache watoto wako wakarundikwe huko kayumba kama kondoo Ndani ya zizi.

Darasa moja wanafunzi 100 huku baadhi wanakaa chini . Kama hujawahi kutembelea kayumba schools huwezi kunielewa.

Hizo shule hazifai Hata kidogo
 
Kuna jamaa humu jamii forums anajiita LIKUD baada ya kupatwa na changamoto za kiuchumi ambazo ni kawaida kuzipata kwenye haya maisha ya kupanda na kushuka, ikambidi atoe watoto English medium akawapeleka shule za serikali za kata.

Sasa cha ajabu ni kwamba yupo bize kuanzisha nyuzi kuziponda english medium, ni wazi anaumia sana anavyoona kuna wazazi wanaweza kulipia ada english medium.

English medium nyingi ni private zinampa mtoto unafuu kwenye elimu, ashindwe yeye tu maan hata punda ukimbeba hadi mtoni jukumu la kunywa maji ni yeye sio mchungaji.
  • Mtoto anachagua apande school bus ama atembee
  • Kuna chakula shuleni
  • Wanafunzi hawabanani darasani
  • Kila mwanafunzi ana kiti na dawati lake
  • Lugha ya kimataifa inatumika kufundishia
  • hakuna mambo ya viboko, hilo ni jukumu la wazazi/walezi
  • kuna vyumba vya kujifunzia computer
  • vyoo visafi kila siku vinasafishwa
  • n.k.

Ni kweli kabisa kuna wanafunzi wa shule za serikali wanafanya vizuri lakini huwa ni kwa mazingira magumu, Wazazi wanapeleka watoto wao private ili kuwarahisishia mazingira ya elimu
 
kusema ukweli ni wachache wanapenda tabu ila wengi wetu tunakosa tu fursa za kula mema ya nchi kwa hivyo basi tunatafuta kuvitia ubaya vitu tusivyovimudu aidha kwa sababu ya gharama au kukosa connection.
 
Ni mtu mpumbavu pekee ndio anashangilia mtoto wake kusoma shule za vidumu na fagio kwa mkono.

Umasikini umefanya watu kuwa wapumbavu mpaka wa fikra tambuzi na pembuvi.
 
😃😃😃 nyie waTz ni wajinga sana... Nyie mkiona Shule ya private ina school bus mnadhan ni English Medium School...
Mitoto yenu inasoma Shule za kipumbavu zisizo na mbele wala nyuma mnadanganywa kwa uniforms zenye rangi rangi na school bus...
Niwaambie ukweli kwa mujibu wa vigezo vilivyowekwa ktk Elimu, tuchukulie Dar es salaam pekeyake ina private school (English Medium) zisizo zidi 20 zenye viwango vya kuitwa English Medium Schools...
Wazazi wengi mnasomesha watoto wenu ktk Shule za kipumbavu kwasabab nyie wenyew hamjitambui hamjui kutathimini Shule yenye viwango vya English Medium ni ipi...
WATZ mnachezewa sana akili, ndio maana watoto wenu wanaishia kufundishwa ushoga na usagaji...
Wanao somesha watoto wao English Medium zenye viwango huwa wanawacheka sana nyie waTz...
Anyways sisi acha tufungue Shule binafs za kata tuziite English Medium wajinga mlete watoto wenu tuwafundishe (A for Apple, I for iPhone) mfurahi na upuuz wenu 😃😃😃
 
Back
Top Bottom