Mawazo yako yamegandia wakati wa ukoloni,mabadiliko yote ya kijamii na kiuchumi yatokeayo Afrika kwenye mawazo yako hayakai kabisa. Kwa vile ngozi nyeupe iliongoza Afrika wa kati wa Ukoloni kwa mkono wa chuma,kwako kila mwenye ngozi nyeupe ni sehemu ya utesaji huo. pole sana mkuu. ni ugonjwa huo wahi tiba.
Huyu hapa Mbunge wa Kinondoni kwa wajanja.
The problem is that you think being African is Black, and being Zambian is black There a lot of black Zambians who are not Zambian, Let take for example Dr chiluba, he was congolise by origin he is the relative to Katumbi,Dr Kaunda is from Malawi , Mkapa has origin of Mozambique, Nyerere has origin of Burundi the least is endless, Sata has origin of Tanzania The thing I want to bring up is that we need leaders who will take Africa to the next level of development, The so called indigenous Tanzania or Zambia have done little to develop their country, The was just part of history of man kind we cant keep living in the past we need to soldier on,
Kwa hiyo unataka tuongozwe na wazungu? Haya mkuu sasa hao Viongozi wako weusi ni wa nini si mngeongozwa na wazungu kuelekea kuchukua dola?
Indirectly tunaongozwa na wazungu so far mtu anakugharimia mpaka pesa ya kulipia mishahara ya wafanyakazi unaweza kusema hakuongozi hivi leo ni kitu gani tunaweza kuambiwa na marekani au uingereza tukakataa? kujitawala ni kuwa huru kiuchumi! Yaliyofanywa na Wamarekani wakati wa ziara ya Obama wanaingilia hata kuongoza ndege na kupekua abiria mbona hawakufanya hivo South? au China? au Russia? halafu unajitapa huongozwi na wazungu acha fikra fupi kimbunga? hizi buku saba zimekutoa akili kabisa??!!
Mkuu OSOKONI yaani umejituma kabisa na kuwa mtumwa kweli kweli. Niliwahi kusoma kitabu kimoja kinasema heri mtumwa wa kutumwa kuliko mtumwa wa kujituma. Kwa hiyo huna ndoto ya kuwa kama Rusia ama China au South Africa? Umejitekesha nyara kwa wazungu? wewe ndio fikra zako zimekufikisha hapo kwamba hata uje utawala gani basi wazungu watendelea tu kutunyanyasa na sisi wenyewe kujisalimisha kama mateka na wao kutuchukua kama nyara za vita?
Yaani huna matumaini hata kidogo kwamba Tanzania itakuja kuwa na nguvu za kiuchumi? Mbona unapiga kelele kwamba mali asili yetu inapokwa na kutapanywa?
Huamini kabisa kwamba unaweza kuiongoza nchi ya kiafrika kama Tanzania yenye rasrimali lukuki ukaweza kuwalipa watumishi wako mishahara minono badala ya mishahara ya kijungu jiko ama kulipiwa na wazungu? Huamini kabisa kwamba tunaweza kuwa na uwezo wa kuwapekua abiria hata akija Rais wa Amerika ili hali uchumi ukiongozwa vyema na kujivunia mali asili zetu.
Nimeamini wewe ni miongoni mwa wale wasemao Mzungu anamkaribia Mungu kwani ukitoa herufi Z kwenye neno Mzungu unapata MUNGU!
hata raisi wa marekani ni mweusi. Hivi ndivyo dunia ya sasa ilivyo.
the problem with you is that you dont know zambian politics, dr guy scot is more of a zambian than a white man he has done so much to zambia than even a lot of black zambian, in zambia they do not elect a leader based on race or tribe, they elect a leader based on performance ,zambians are politically mature compared to us in tz
mbona deputy wa home affair tz ni mreno hujashangaa
Haya ni mawazo ya masafa mafupi sana! Kwani hiyo nafasi aliipata kwa kuwashikia wazambia mtutu wa bunduki? Na hao weusi wako unaolilia si ndio hao wanaotupa mabomu kwenye mikutano ya kampeni wakiona wameshindwa hoja?
Wapinzani hawashindwi kuongoza. Kinachotokea ni shida kubwa mbili: Moja, chama tawala wanataka viongozi wapya waonekane hawajui, hawafai. Kwa hiyo wanajenga mazingira ya shida kabla ya kuondoka ili hao wajao wapate shida. Yaani hulka ya roho za watu weusi ni kama vile Bush angeficha mafaili ya upelelezi kuhusu Osama bin Laden ili Obama ashindwe pa kuanzia. Pili, Wananchi viwango vyao vya elimu vipo chini wanadhani ukibadili uongozi leo, kesho matatizo yanakwisha. Yaani ni kama hili tatizo la Rushwa ambalo limestawishwa Tanzana kuanzia 1978/79 hadi hii leo, Chadema ikiingia madarakani leo wananchi watataka rushwa iishe kesho. Which is impossible! Au tatizo la udini ambalo limeanza kujengwa 1985 hadi hii leo, Chadema ikipata madaraka leo wananchi watataka kesho wakiamka wakute mashehe na mapadiri wanacheza bao. Again sidhani kama hilo litaenda haraka hivyo. Changes take time!