nziriye
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 1,050
- 361
Jamani ndugu zangu wanajf ,hoping kuwa mpo pouwah na harakati za kuleta mabadiliko ya nchi yetu,kweli nieamini huyu bwana mkubwa makamba atakuwa hana akili sawa sawa namnukut alichosema jana ktk shughuli za ccm "inabidi wanaccm tutembee kifua mbele kwa ushindi wa kishindo wa ccm ,is it true?anadiriki kusema kuwa zile kura walizopata ni za kutosha,lol?hv wanajf kwanza huyu jamaa anajua kuwa kuna mwanafunzi wake wa makamba sec. mwenye div 4 amejiua ,je alienda msibani?..mbna ktk ukweli huwaga tunakuwa wagumu kukubali ukweli au makamba anapumbazwa na ushindi wa mkwere,waungwana hv ni sahihi kuendelea kujadili matokeo muda huu wakati nchi ipo ktk hali ya uozo au ni vp?wanajf please tumshauri makamba kupitia forum hii.