Sumbalawinyo
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 1,282
- 247
Hivi kuna tofauti gani kati ya Majini, Mashetani, Mapepo na Mahayawani?
Naomba msaada wenu ndugu wataalam.
Maana kanisani utasikia wakikemea pepo toka, Masheikh utawasikia wanafukuza majini.
Yaani vinanichanganyachanganya/
Naomba msaada wenu ndugu wataalam.
Maana kanisani utasikia wakikemea pepo toka, Masheikh utawasikia wanafukuza majini.
Yaani vinanichanganyachanganya/