kyalankota
JF-Expert Member
- Jul 27, 2014
- 2,560
- 1,399
Wakuu poleni sana kwa kusubiri muda mrefu kuona orodha ya majina ya waliochaguliwa kushiriki zoezi muhimu la kitaifa kuhusiana na sensa ya watu na makazi mwaka huu 2022. Wengi wenu mliomba mkiwemo wenye ajira na wasio na ajira.
Kama alivyosema kamisaa wa sensa ya watu na makazi mheshimiwa spika mstaafu Anna Makinda ni kwamba mtu yeyote mwenye kukidhi vigezo hataachwa.
Kwa hiyo msidanganywe na watu wanaosambaza taarifa za uzushi. Majina yakitoka kila mtu atajua hakutakuwa na kificho.
Kuweni wavumilivu.
Asanteni kwa kusoma andiko hili. Kazi iendelee.
Kama alivyosema kamisaa wa sensa ya watu na makazi mheshimiwa spika mstaafu Anna Makinda ni kwamba mtu yeyote mwenye kukidhi vigezo hataachwa.
Kwa hiyo msidanganywe na watu wanaosambaza taarifa za uzushi. Majina yakitoka kila mtu atajua hakutakuwa na kificho.
Kuweni wavumilivu.
Asanteni kwa kusoma andiko hili. Kazi iendelee.