Majina, misemo na maneno kwenye khanga

Hapo nikumpigisha dudu mwanzo mwisho daily mpaka amsahau huyo jirani
 
I will give her some monnie to buy more khangas..manake najua maji ya moto wala hayachomi nyumba!
Maneno kwenye kanga ndo mahali pake....
 
I will give her some monnie to buy more khangas..manake najua maji ya moto wala hayachomi nyumba!
Maneno kwenye kanga ndo mahali pake....
SnowBall acha kutudanganya... ile maneno kama unampenda kweli mkeo lazima utafute bakora...
 
Last edited by a moderator:
Kizuri kula na mwenzio,mpende jirani yako kama wewe mwenyewe,kwa hiyo unaacha tu unampongeza kwa ukarimu.
 
Kama mie ningennunulia kanga mpya nimpekee kama zavadi vo! Kanga inasema hivi: hukushiba kwa tonge, utashimba kwa kulamba... Tena aivae saa hio hio vo!
 
Teh teh teh.

heheheeeeee mbavu zangu Blue G nani kasema dawa ya moto ni maji dawa ya moto ni moto

Hao wanawake ni kama mayai yaliyo hifadhika. (As-Saaffaat: 49)
Hakika wanao wasingizia wanawake, wanao jihishimu, walio ghafilika, Waumini, wamelaaniwa duniani na Akhera, nao watapata adhabu kubwa. (An-Noor: 23)

Basi yule bwana alipoona kanzu yake imechanwa kwa nyuma, alisema: Hakika haya ni katika vitimbi vyenu wanawake. Bila ya shaka vitimbi vyenu ni vikuu. [12:28]

Na wapeni wanawake mahari yao hali ya kuwa ni kipawa. Lakini wakikutunukieni kitu katika mahari, kwa radhi yao, basi kileni kiwashuke kwa raha. (An-Nisaa: 4)

Na wanao wasingizia wanawake mahashumu, kisha wasilete mashahidi wane, basi watandikeni bakora thamanini, na msiwakubalie ushahidi wao tena. Na hao ndio wapotovu. (An-Noor: 4)


 
heheheeeeee mbavu zangu Blue G nani kasema dawa ya moto ni maji dawa ya moto ni moto

Hao wanawake ni kama mayai yaliyo hifadhika. (As-Saaffaat: 49)
Hakika wanao wasingizia wanawake, wanao jihishimu, walio ghafilika, Waumini, wamelaaniwa duniani na Akhera, nao watapata adhabu kubwa. (An-Noor: 23)

Basi yule bwana alipoona kanzu yake imechanwa kwa nyuma, alisema: Hakika haya ni katika vitimbi vyenu wanawake. Bila ya shaka vitimbi vyenu ni vikuu. [12:28]

Na wapeni wanawake mahari yao hali ya kuwa ni kipawa. Lakini wakikutunukieni kitu katika mahari, kwa radhi yao, basi kileni kiwashuke kwa raha. (An-Nisaa: 4)

Na wanao wasingizia wanawake mahashumu, kisha wasilete mashahidi wane, basi watandikeni bakora thamanini, na msiwakubalie ushahidi wao tena. Na hao ndio wapotovu. (An-Noor: 4)


Walllahi vile hata sijakuelewa ndugu yangu em funguka kidogo,ulikuwa na maana gani hapo juu?
 
Nimependa hayo maneno ya khanga......!!!!
Yaani hiyo ni messege sent, inaonekana hutimizi wajibu vizuri, badilika bro, vinginevyo atafanya kweli. ningekuwa mimi naanza mazoezi makali hadi kieleweke, ukiingia uwanjani hizo kanga zitasahaulika,
 
Back
Top Bottom