OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
le mutuz kuna mwenye tetesi mahali alipo........
Chetuntu kama sikosei!!! (R.I.P)
May God Feed them honey....Nadhani ni vema kuwaenzi na kuwakumbuka mashujaa wetu waliofariki kama alivyopendekeza PJ kwenye posti moja hivi. Mimi naanza:
1. Juma Kidogo
2. Baruti Mwesiga aka Kandambili
3. Profesa Jwani Mwaikusa
4. Regia Mtema
5.
very true. Boss wangu akijua ndio mie nam'balasa humu, hata shada la ofisi halitakuja wallah.
masikini mimi ambaye hakuna ajuae jina langu halisi nikifa sijui wana jf wenzangu watajuaje nimekufa?
hata hivyo nitajivunia hata huko niyakapokuwa kuwa nilikuwa member wa forum muhimu kwa jamii ya JF.
and i will tell ma self RIP me.
Kwanini umeshtuka flora msoffe?heeee nimeshtka sana siamini
Nadhani ni vema kuwaenzi na kuwakumbuka mashujaa wetu waliofariki kama alivyopendekeza PJ kwenye posti moja hivi. Mimi naanza:
1. Juma Kidogo
2. Baruti Mwesiga aka Kandambili
3. Profesa Jwani Mwaikusa
4. Regia Mtema
5.
Huyu facebook anapiga majungu na umbeya. Kila siu ni picha za wanawake na stori za Billicanas, nafikiri JF imemshindale mutuz kuna mwenye tetesi mahali alipo........
Kwanini umeshtuka flora msoffe?
nadhani Mods waweke ka-system ambako sisi tunawapa baadhi ya real identity ila wao wanaziweka na kuzificha, pia awepo mtu wa karibu anayefahamu rela name ili siku ukitundikiwa tani kadhaa za mchanga basi huyo aliye karibu nawe ambaye pia ni member wa JF atoe taarifa kwa mods ili watoe taarifa kwa umma wa JF kuwa jamaa kalamba mchanga!masikini mimi ambaye hakuna ajuae jina langu halisi nikifa sijui wana jf wenzangu watajuaje nimekufa?
hata hivyo nitajivunia hata huko niyakapokuwa kuwa nilikuwa member wa forum muhimu kwa jamii ya JF.
and i will tell ma self RIP me.
hatumuoni siku hizi humu, au na yeye Rest in piece?le mutuz kuna mwenye tetesi mahali alipo........
sasa watajuaje kama umetangulia mbele ya haki? utawaPM ukiwa huko unakoita mbele ya haki?Mimi namwomba Invisible na wenzake nikiwatangulia mbele ya haki wanitaje wazi humu.
Dah! Swali gumu hili. Kabla sijatangulia nitapata nafasi ya kuwasiliana nao. Lakini pia nina kijana wangu anafahamu mimi ni addict humu. Atawafahamisha.sasa watajuaje kama umetangulia mbele ya haki? utawaPM ukiwa huko unakoita mbele ya haki?
sasa hapo nimekuelewa! vinginevyo nilikuwa na mashaka nikadhani mwenzangu ukienda huko utabeba mpaka laptop na modem...hahahahaha!Dah! Swali gumu hili. Kabla sijatangulia nitapata nafasi ya kuwasiliana nao. Lakini pia nina kijana wangu anafahamu mimi ni addict humu. Atawafahamisha.