Majibu ya Waziri Mwigulu Nchemba kuhusu tuhuma za kughushi vyeti vya taaluma, kuiba jina

Mmh! Siyo rahisi kama mleta Uzi unavyotaka kurahisha! Hili linahitaji use an guts za kutosha na ujasiri wenye nishani ya heshima kubwa.
Mbona mkulu amewavua wengi nguo?
Mwigulu wa kupachika jiuzulu ili uje name jina lako halisi utaloapa kwalo kulitumikia taifa.
Nilikuwa na mashaka juu ya utendaji wa wateule wetu wengi kuwa name moral decay ambayo shetani alikuwa anawashangaa kwa jinsi walivyooza kimaadili name kukosa uzalendo wa dhati kuliko yeye. Kumbe shida ilikuwa ni walioteuliwa siyo halisi kwani watu halisi walibaki kuchunga name wateule hao walishindwa kufanana name wenye majina yao.
Magu safisha kabisa nyumba yako ili tuanze upya.
 
Kwakuwa aitwaye Mwigulu Nchemba amekiri kuwa majina yote Mwigulu Lameck Madelu Nchemba si yake,ndugu huyu anaitwaje kwa majina yake halisi aliyopewa wakati wa kuzaliwa au kubatizwa?

Umefika muda wa kumwita jina lake halisi Waziri wetu wa Mambo ya Ndani ya nchi. Tafadhali Mwigulu Nchemba,tutajie jina lako halisi. Hilo la vyeti vya taaluma linasameheka. Fanya hivyo sasa na Rais akutaje upya!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
mkuu bado unagonga nyundo tu!.
ila ni kweli kujua
 
Kwakuwa aitwaye Mwigulu Nchemba amekiri kuwa majina yote Mwigulu Lameck Madelu Nchemba si yake,ndugu huyu anaitwaje kwa majina yake halisi aliyopewa wakati wa kuzaliwa au kubatizwa?

Umefika muda wa kumwita jina lake halisi Waziri wetu wa Mambo ya Ndani ya nchi. Tafadhali Mwigulu Nchemba,tutajie jina lako halisi. Hilo la vyeti vya taaluma linasameheka. Fanya hivyo sasa na Rais akutaje upya!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
...swali zuri sana hili...huko kwenye uhakiki wa vyeti watu wanasumbuliwa sana kuonyesha vyeti vya kuzaliwa....ili originality/utambuzi wao ijulikane....maana lazima kila mtoto anaezaliwa TZ anapewa jina...na linawekwa kwenye document yake ya kuzaliwa....

...sasa huyu waziri kwa kuwa amekiri kuwa majina aliyosomea sii ya kwake...basi awatajie watanzania majina yake ya kuzaliwa...yale yaliyoandikwa kwenye cheti chake cha kuzaliwa...nasema hizi kwa kuwa huyu waziri ndie anaeshughulika na mambo haya kama sehemu ya kazi yake(RITA iko chini yake)....lazima aonyeshe mfano....kama kweli utawala huu unajali ukweli....
 
Acheni upumbavu wenu, ninyi vipi? kila siku vi-thread vya kipumbavu-pumbavu tu, tumechoka na upuuzi wenu huu, mtu amishatoa maelezo yake, sasa mnataka nini cha Zaidi? kwani wewe usitoe unayoyajua juu yake? pimbi ninyi
Ukiona watu wanaendelea kuuliza ujue maelezo yake hayajatoshereza wanachotaka kukijua
 
Identity theft is the deliberate use of
someone else's identity, usually as a method
to gain a financial advantage or obtain credit
and other benefits in the other person's name,
and perhaps to the other person's
disadvantage or loss.
 
Acheni upumbavu wenu, ninyi vipi? kila siku vi-thread vya kipumbavu-pumbavu tu, tumechoka na upuuzi wenu huu, mtu amishatoa maelezo yake, sasa mnataka nini cha Zaidi? kwani wewe usitoe unayoyajua juu yake? pimbi ninyi
kwa matusi haya humsaidii. wa tz hawana neno na waziri wao, ila imebakia yeye amalizie habari yake ya jin@
 
inawezekana rais alimuapisha mtu aambaye sasa analima alizeti singida na wala hajui kama yeye ni waziri.

jina lake tu limetumika
 
hapo hatoki mtu..

adhabu ya cheating ni kufutiwa matokeo.
Acha kupoteza nguvu zako in pursuit of irrelevant goals. Hakuna hoja hapo ndo maana nasisitiza unapoteza muda....You are redirecting your energy kwenye mambo ambayo hayana faida kwako. Utasema eti waziri anaku affect mustakabari wako. Hatumii cheti cha mtu mwingine na hilo jina la Mwigulu ni lake. Soma alichoandika mwanzo hata wewe unaweza kwenda mahakamani ukaapa kwamba kianzia leo unaitwa Mwigulu Nchemba. Hebu kafanyeni kazi hali ngumu sasa hivi sio kukaa tunajadili watu kwa hoja dhaifu..
 
pale WAZIRI anayeshughulikia mamlaka.ya vitambulisho vya taifa NIDA,utambulisho wake yeye mwenyewe tu,unapowachanganya watanzania
 
...swali zuri sana hili...huko kwenye uhakiki wa vyeti watu wanasumbuliwa sana kuonyesha vyeti vya kuzaliwa....ili originality/utambuzi wao ijulikane....maana lazima kila mtoto anaezaliwa TZ anapewa jina...na linawekwa kwenye document yake ya kuzaliwa....

...sasa huyu waziri kwa kuwa amekiri kuwa majina aliyosomea sii ya kwake...basi awatajie watanzania majina yake ya kuzaliwa...yale yaliyoandikwa kwenye cheti chake cha kuzaliwa...nasema hizi kwa kuwa huyu waziri ndie anaeshughulika na mambo haya kama sehemu ya kazi yake(RITA iko chini yake)....lazima aonyeshe mfano....kama kweli utawala huu unajali ukweli....
Kuna watu wanamtetea watakuambia wakati anazaliwa hakukuwa na vyeti uhakiki huu ni wamakapuku tu rafiki huyo haguswi.
 
Mkuu, mimi nilikuwa mwalimu miaka hiyo, najua kabisa mambo yalivyokuwa yanafanyika. Baadhi ya walimu wakuu kwa kuogopa kuwekwa hatiani, wengi walikuwa wakibadilisha majina ya kidogo majina ya watoro ili apewe mrudiaji. Mfano kama mwanafunzi mtoro alikuwa akiitwa Makoti Sungura, jina linaweza kubadilishwa mrudiaji akaitwa Makuti sungurira. Hata hivyo Mwigulu kasema uongo mtupu. Katika majibu yake kasema aliacha shule akiwa darasa la tano akakaa nyumbani miaka miwili. Kwa maana hiyo alivyorudi shuleni wenzake tayari walishamaliza darasa la saba. Je, angewezaje kutumia jina hilo hilo wakati tayari kwenye records inaonyesha alikuwa mwanafunzi mtoro aliyeacha shule? na taarifa hizi zilikuwa zikitumwa aidha wizara ya elimu au baraza la mitihani kuthibitisha idadi ya wanafunzi walioandikishwa, watakaofanya mtihani wa kumaliza la saba na watoro ambao hawatafanya mtihani. Mwigulu akubali tu kuwa alirudia shule na kutumia majina ya kijana mtoro ambaye aliacha shule kuliko kuja na hoja za uongo uongo. Hili ni tatizo kwa viongozi wetu walio wengi. Kusema uongo kwao ni kitu cha kawaida.
Yaani tayari unayo conviction based na hisia na sii ushahidi. Present ushahidi na sio hisia. Wanaopaswa kutuletea ushahidi ni wale waliwahi kuishi naye pamoja au pengine kusoma naye pamoja toka enzi hizo. Sisi wengine tubaki watazamaji. Tabia ya kuwa na conviction ya kitu ambacho huna ushahidi ni dalili ya kuwa akili ndogo. Hivi unaweza kuitwa mahakamani kutoa ushahidi wa kitu ambacho huna connection nacho? Ndo unachojaribu kufanya hapa kumhukumu mtu kasema uongo wakati huna facts. Ningekuona una akili ungejaribu kufanya investigation ya kuwahoji waliwahi kusoma naye ndo uje na conviction lakini so far unaleta tu hisia na kutaka ndo ziwe facts..
 
inawezekana mwenye jina analima vitunguu dongobesh,laiti akijua kwamba ameshakuwa waziri,

lazima ataomba share kwenye mapato yaliyopatikana kupitia jina lake
 
Mbona inaonyesha dhahiri kuwa ulirudia ukachukua jina la mtu,au mimi uelewa wangu ni mdogo?
 
Nenda chit chat, usituchoshe na wako.
Acheni upumbavu wenu, ninyi vipi? kila siku vi-thread vya kipumbavu-pumbavu tu, tumechoka na upuuzi wenu huu, mtu amishatoa maelezo yake, sasa mnataka nini cha Zaidi? kwani wewe usitoe unayoyajua juu yake? pimbi ninyi
,
 
Back
Top Bottom