OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Huyu mzee ni mnafiki wa hatari hatari nimewfahamu kwa muda mrefu tokea akiwa tic ni mnafiki ile mbaya,me nafkiri kuzidi kumjadili tunampat chati tuacheni ajadiliwe na mama sita.
Huduma bure za elimu kuanzia chekechea hadi chuo kikuu na huduma bure za afya kwa wote ni ndoto na ni ghilba kwa wananchi. Isitoshe siamini kwamba kazi ya Serikali yoyote Duniani ni kuwalea Wananchi kwa umaskini huku ukiwaahidi huduma za bure badala ya kuwaendeleza wajitume na waongeze kipato ili wamudu gharama za maisha. Kwa hiyo nisingeweza kuwa mgombea Uraisi ndani ya chama ambacho itikadi zake za msingi sikubaliani nazo.
Napata mashaka makubwa kwa huyu mzee Six, juzi kamsifia Dr Slaa, leo anamuita mnafiki, sasa hapo nani mnafiki wa kweli? Sita au Slaa?
Hajamsifu bali amesema huwezi kueleza wasifu wa mbowe bila kutaja mchango wake kwa taifa kwenye mambo ya uchezaji wa disco!huo ndio ukweli anao mchango mkubwa sana kwenye mambo ya kuwawezesha watz kuwa wacheza discoSitta ni mnafiki sana yani leo unajifanya unamsifu mbowe!