Majibu ya Ikulu juu ya tuhuma za UKAWA kuhusu Mkakati wa kutumia Media kwa kampeni ya kura ya NDIYO

Nadhani mwehu zaidi utakuwa ni wewe ambaye pia hujiulizi kama Kikwete na Shein na CCM wana haki ya kuipigia debe katiba pendekezwa tena kwa kutumia hela ya umma, iweje watu wengine wasiruhuisiwe kuwaelimisha wananchi tena kwa gharama zao juu ya ubaya na uovu wa hilo andiko la katiba liliandaliwa na majitu majizi kama akina Chenge? Simple reasoning can free you from stupidity prison.

Wewe ni Mwehu nini,UKAWA wawe na mamlaka, SERIKALI isiwe na mamlaka?
 
Pia tusubiri tuone hao watakaokua wasemaji kwenye hivyo vipindi ili walipwe laki tano
 
Wewe ni Mwehu nini,UKAWA wawe na mamlaka, SERIKALI isiwe na mamlaka?

Yaani wana haki ya kutafuta moderators na resource persons ambao "wako comfortable nao"? (maana ndivyo waraka ulivyodai, kama wameukubali). Hapo sasa watakuwa wanawaelimisha raia kuhusu katiba au wanapiga propaganda za chama?

Kifupi kama wameukubali waraka ule ni kwa kuwa hawakuwa na namna ya kuukataa. Vinginevyo serikali haiwezi kupanga mbinu za kihuni-huni namna ile halafu ikadai eti itakuwa inatoa elimu kwa wananchi! Utatoaje elimu kwa kuchagua watu watakaosema unayotaka tu waseme?
 
Rweyemamu ulichokisema cha kutoa elimu juu ya katiba pendekezwa ni vizuri sana! Lakini tunachokikataa ni ku-side upande mmoja badala ya kuwa neutral kama serikali. Katiba imependekezwa na sasa wananchi ambao ndio wenye serikali yao wasitishwe wala kushawishiwa na vyombo vya ikulu kuikubali katiba, let them be free kuamua umenipata bwana mdogo Rweyemamu!

Waachieni ccm wenyewe wainadi katiba yao na ukawa wainadi katiba waliyopendekeza wananchi then wapiga kura wachuje pumba na mchele. Mkiendelea ku-side wakati nyie ni watumishi wa umma mtaliingiza taifa kwenye machafuko.
 
kuonekana kwa WARAKA na kuanza kutoa elimu ni matukio ya nyakati tofauti, bado kauli ya Rais kuwa Kampeni bado ina mashiko tu ila kwa mbumbumbu kama wewe utaona kama ndiyo elimu imeanza.

waraka Umeandikwa tarehe 20/10/2014 na Salvatory kasema uhamasishaji uanze baada ya week moja ambayo ni tarehe 27/10/2014. Sasa inakuwaje Mheshimiwa Raisi aseme muda wa Kampeni bado ili hali nyuma ya pazia wao wameshaanza kampeni tayari? Soma waraka kabla hujaja na propaganda zako.
 
Rweyemamu ulichokisema cha kutoa elimu juu ya katiba pendekezwa ni vizuri sana! Lakini tunachokikataa ni ku-side upande mmoja badala ya kuwa neutral kama serikali. Katiba imependekezwa na sasa wananchi ambao ndio wenye serikali yao wasitishwe wala kushawishiwa na vyombo vya ikulu kuikubali katiba, let them be free kuamua umenipata bwana mdogo Rweyemamu!

Waachieni ccm wenyewe wainadi katiba yao na ukawa wainadi katiba waliyopendekeza wananchi then wapiga kura wachuje pumba na mchele. Mkiendelea ku-side wakati nyie ni watumishi wa umma mtaliingiza taifa kwenye machafuko.

Kuna ccm,serikali,ccm ni taasisi iliyounda serikali iliyopo,serikali itatoa elimu kwa umma kukubali katiba pendekezwa,kilichopitishwa bungeni serikali ni implemental wa kile kilichokubaliwa bungeni,hawawezi kwends kinyume,kwenda kinyume ni kazi ya upinzani,Kwakuwa ccm ndio wanaounda serikali haitawezekana kwenda kinyume na matawkwa ya serikali,hapo ccm itatumia ghalama kutoka kwenye mfuko wao kutetea katiba hali kadhalika serikali inapigia debe katiba ipite,upande wa pili wa shilingi ufanywe na vyams pinzani na NGO
 
ikulu ndo imekuwa kichaka cha kuoitisha ujinga, ndo maana na rais wa china alipitisha pembe za ndovu hapo hapo, kwa idhini ya prof.Dr, dr. JK
 
Kuna ccm,serikali,ccm ni taasisi iliyounda serikali iliyopo,serikali itatoa elimu kwa umma kukubali katiba pendekezwa,kilichopitishwa bungeni serikali ni implemental wa kile kilichokubaliwa bungeni,hawawezi kwends kinyume,kwenda kinyume ni kazi ya upinzani,Kwakuwa ccm ndio wanaounda serikali haitawezekana kwenda kinyume na matawkwa ya serikali,hapo ccm itatumia ghalama kutoka kwenye mfuko wao kutetea katiba hali kadhalika serikali inapigia debe katiba ipite,upande wa pili wa shilingi ufanywe na vyams pinzani na NGO

Very wrong! Kwa hiyo serikali inawahudumia wanamchama wa ccm nchi nzima ambao ndo wananchi wote? Mfike sehemu mtumie akili kufikiri kwa mapana! Watanzania wameshaondoa woga sasa mbelembele
 
katiba pendekezwa ni wananchi na si chama chochote.kwa hiyo serikali itagharamia utoaji elimu kwa wananchi kuhusu katiba

"Kwakuwa katiba inayopendekezwa ni ya SERIKALI, ni lazima tujitahidi kuiokoa serikali na aibu inayoweza kujitokeza ikiwa wananchi wataikataa"~ Prof, Dr, Mh Jakaya Kikwete
 
Back
Top Bottom