Majibu UKIMWI ya Sinta na Jack Wolper

...Wizi mtupu! Kwa utaratibu, Tanzania kipimo cha kwanza kwa HIV ni SD Bioline na majibu yakiwa Non Reactive (Negative) unampa majibu mgonjwa kuwa hana virusi (at that particular time ) unamuelekeza arudi baada ya miezi mitatu; na wakati anasubiri kurudi in 3 months ajikinge. Hakuna utaratibu wa kufanya Determine (kipimo cha pili hapo kwenye hiyo karatasi yao; hii hufanyka kama tu SD bioline ni positive). Sasa kama karatasi hiyo ni genuine then mimi nitasema huyo Christina John ana NGOMA. Alipima SD Bioline ikawa reactive ndio maana wakapima determine which also turned positive; then yeye akachakachua na kuongezea NON- halafu na kujitungia tarehe ya kurudi in 3 months......hah haha hah. Lakini ALL in all nachokiona hapo kuna mtu analiwa timing aingizwe kwenye 18 zao!
 
Jamani samahanini sijaelewa mi najua negative na positive sa reactive ndio nini?embu nielimisheni jamani,
 
Here is our Bongo AMBER ROSE...

Wolper.jpg

Wolper2.jpg

Wolper4.jpg


wabongo kwa kupenda kutumia majina ya watu maarufu hamjambo amber r gani anayegawa uchi km upupu au hivyo vicarolite ndivyo vinavyompa kichwa ngoma ikivuma ujue inataka ....kupaaaaa
 
...wizi mtupu! Kwa utaratibu, tanzania kipimo cha kwanza kwa hiv ni sd bioline na majibu yakiwa non reactive (negative) unampa majibu mgonjwa kuwa hana virusi (at that particular time ) unamuelekeza arudi baada ya miezi mitatu; na wakati anasubiri kurudi in 3 months ajikinge. Hakuna utaratibu wa kufanya determine (kipimo cha pili hapo kwenye hiyo karatasi yao; hii hufanyka kama tu sd bioline ni positive). Sasa kama karatasi hiyo ni genuine then mimi nitasema huyo christina john ana ngoma. Alipima sd bioline ikawa reactive ndio maana wakapima determine which also turned positive; then yeye akachakachua na kuongezea non- halafu na kujitungia tarehe ya kurudi in 3 months......hah haha hah. Lakini all in all nachokiona hapo kuna mtu analiwa timing aingizwe kwenye 18 zao!

hapo kwenye red hapo...pigia mstari tena bold
 
why is this even a thread...inabidi tujishtukie that tunazidi kuwapa kichwa...the more you talk about irrelevant things and people, the more you actually make it relevant.......BUT my take...sasa si inatuhusu nini...au kuna ka ujumbe hapa kanatumwa kwa mtu?
 
Kuna kitu ninakiona hapa Tz,watu wengi hasa wanaojiita mastaa hususani waigizaji wanapenda kuishi 'artificia life' au kwa kiswahili maisha ya bandia. Wengi wanajifanya wanaingiza pesa sana kupitia movie. Ila ukitazama maisha halisi mh! Au wana matumizi sana? Eti mtu anajifanya anakifanyaa matumizi yake kwa siku ni laki 5 mpaka milioni moja. Yaani nahisi wanaharibu wadogo zetu kisaikolojia sana.
 
Mastaa wanao-hit hivi sasa
SINTA aka J LO wa Bongo na JACK WOLPER aka AMBER ROSE wa Bongo walipimwa ukimwi pale kwa Mama ngoma na haya ndio majibu yao

.Hongereni sana kwa ujarisiri wa kupima UKIWMI na kukutwa REACTIVE

IMG_3561.JPG
IMG_3565.JPG
IMG_3560.JPG
IMG_3563.JPG

Naomba wapatiwe referral kwenda Muhimbili ili wabadili matokeo! Isije ikawa kama Agha Khan hospital na matokeo ya Malaria ya Zitto!!!
 
Mastaa wanao-hit hivi sasa
SINTA aka J LO wa Bongo na JACK WOLPER aka AMBER ROSE wa Bongo walipimwa ukimwi pale kwa Mama ngoma na haya ndio majibu yao

.Hongereni sana kwa ujarisiri wa kupima UKIWMI na kukutwa REACTIVE

IMG_3561.JPG
IMG_3565.JPG
IMG_3560.JPG
IMG_3563.JPG


Nonsense!! So what?
 
Kwa mara ya kwanza huwezi kupewa majibu ya karatasi mpaka ya tatu na yawe yanahitajika kwa shughuli maalumu. siyo ya kutembeza kwa watu, waende muhimbili au angaza.
 
MODS...hii thread haistahili kuwepo hapa. Inabidi muifute haraka sana. Sidhani huyu aliyeanzisha hii thread alikuwa na ruhusa ya wahusika kuweka hapa matokeo ya vipimo vyao vya ukimwi.
 
Back
Top Bottom