Mrengwa wa kulia
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 992
- 3,489
Rais huyo wa Urusi anatarajiwa kukutana na mwenzake wa Uturiki Recep Tayyip Erdogan baadae wiki hii kujadili pendekezo la mazungumzo kati ya Ukraine na Urusi.
Katika hatua nyingine Rais huyo wa Urusi anatarajiwa kukutana na mwenzake wa Uturiki Recep Tayyip Erdogan baadae wiki hii kujadili pendekezo la PUTIN ili Uturuki kusimamia mazungumzo kati ya Ukraine na Urusi. Msemaji wa Ikulu ya Kremlin Dmitry Peskov amesema Urusi haijapokea ishara yoyote kuhusu mazungumzo hayo lakini haiondoi nia ya Putin kujadili na Erdogan.
Source: Dw.
ZELENSKY tunakuomba msamehe PUTIN kusamehe ni ibada mtoto akiunyea mkono usiukate mkono Rudi mezani.
Mtu mzima kumpeleka puta hivyo sio vizuri muoneshe mlango wa kutokea
Tunakuomba msetiri supapawa wetu.
Na wewe ipo siku atakusetiri.
View attachment 2382831
Katika hatua nyingine Rais huyo wa Urusi anatarajiwa kukutana na mwenzake wa Uturiki Recep Tayyip Erdogan baadae wiki hii kujadili pendekezo la PUTIN ili Uturuki kusimamia mazungumzo kati ya Ukraine na Urusi. Msemaji wa Ikulu ya Kremlin Dmitry Peskov amesema Urusi haijapokea ishara yoyote kuhusu mazungumzo hayo lakini haiondoi nia ya Putin kujadili na Erdogan.
Source: Dw.
ZELENSKY tunakuomba msamehe PUTIN kusamehe ni ibada mtoto akiunyea mkono usiukate mkono Rudi mezani.
Mtu mzima kumpeleka puta hivyo sio vizuri muoneshe mlango wa kutokea
Tunakuomba msetiri supapawa wetu.
Na wewe ipo siku atakusetiri.
View attachment 2382831