BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,719
- 6,527
Wakazi wa Mwanza mnakumbuka mvua za 2018 na 2019 maji ya ziwa Victoria yali sogea sana, na baadhi ya maeneo kama Kisumu Kenya nyumba zilimezwa kabisa?
Ile ni Ujumbe na ni dhahili kwamba eneo ilipo hata ule mji wa Mwanza ilikuwa ni ziwa na ipo siku Maji yatadai eneo lake.
Haya tunayo onaga mafuriko majunbani, huwa sio mafuriko kama tunavyo amainishana yale huwa ni maeneo rasimi ya maji, ila sisi tumevamia ni ipo siku, sasa sisi tunashindwa kuelewa hilo.
Maji yana tabia kuu moja huwa hayasahau asili yake hata kama itapita miaka 1000,
Hii nchi kuna watu wamejenga kwenye Mikondo ya maji wengine pembezoni mwa mito wengine wamehamisha mkondo wa maji, wengine pembezoni mwa ziwa, wengine wamekausha tindiga na kazalika na kuifanya eneo la maji ila wasicho kijua maji hayasahu asili yake.
Utasikia haoa zamani ilikuwa ni maji yanajaaa na leo hii ni majumba tupu then tunachekelea.
Some time yanapo tokea mafuriko.madogo huwa baadae tunasahu ila some time ni ujumbe unatumwa kwamba hili ni eneo letu na hameni.
Ile ni Ujumbe na ni dhahili kwamba eneo ilipo hata ule mji wa Mwanza ilikuwa ni ziwa na ipo siku Maji yatadai eneo lake.
Haya tunayo onaga mafuriko majunbani, huwa sio mafuriko kama tunavyo amainishana yale huwa ni maeneo rasimi ya maji, ila sisi tumevamia ni ipo siku, sasa sisi tunashindwa kuelewa hilo.
Maji yana tabia kuu moja huwa hayasahau asili yake hata kama itapita miaka 1000,
Hii nchi kuna watu wamejenga kwenye Mikondo ya maji wengine pembezoni mwa mito wengine wamehamisha mkondo wa maji, wengine pembezoni mwa ziwa, wengine wamekausha tindiga na kazalika na kuifanya eneo la maji ila wasicho kijua maji hayasahu asili yake.
Utasikia haoa zamani ilikuwa ni maji yanajaaa na leo hii ni majumba tupu then tunachekelea.
Some time yanapo tokea mafuriko.madogo huwa baadae tunasahu ila some time ni ujumbe unatumwa kwamba hili ni eneo letu na hameni.