Majeshi ya Somalia yavuka mpaka na kuishambulia Kenya, serikali ya Kenya yalalamika

joto la jiwe

JF-Expert Member
Sep 4, 2017
26,117
46,613
Penye moto hapakosi Moshi, mwanzo wa ngoma ni lele, na ukiona mtoto wa Simba anakushambulia, ni wazi kwamba mama yake yupo karibu sana.

Ile vita ya Ethiopia na Kenya kwa kupitia mgongo wa serikali ya Mogadishu na ile ya Jibaland imeanza kwa nguvu sana hapo jana, baada ya vikosi vya Serikali ya Mogadishu kuvishambulia na kuvilazimisha kuvuka mpaka na kuingia Kenya ili kujificha, kitendo kilichosababisha Majeshi ya Mogadishu kuishambulia Kenya. Je Kenya itajibu mapigo au itafyata mkia kama kawaida yake?


====

Kenya accuses Somali army of 'unwarranted attack' on border town

Nairobi. Kenya on Wednesday accused Somalia of an "unwarranted attack" on the frontier town of Mandera, during heavy fighting over the border between government and regional forces.

Already fraught tensions between Nairobi and Mogadishu have soared in recent days, with both sides issuing strongly worded statements accusing each other of encroaching on border territory.

Temperatures rose further after heavy fighting erupted on Monday in the Somali border town of Bulohawo between Somali government troops and forces from the semi-autonomous region of Jubaland.

Lawmakers from the nearby Kenyan town of Mandera told AFP on Monday the fighting was so intense it caused residents there to flee and take shelter.

And a Kenyan government statement condemning "violations of the country's territorial integrity and sovereignty" appeared to indicate that Somali forces had crossed into Mandera during the battle.

The statement said that the "foreign soldiers in flagrant breach and total disregard of international laws and conventions engaged in aggressive and belligerent activities by harassing and destroying properties of Kenyan citizens living in the border town of Mandera.

"This action amounts to an unwarranted attack by foreign soldiers with the intention of provoking Kenya."

The fighting in Somalia is the latest instance of tensions between Mogadishu and its regional governments.

Jubaland authorities in August accused Mogadishu of interfering in its election and seeking to oust the incumbent president Ahmed Madobe and get a loyalist in power to increase its control.

Madobe, who was re-elected, is a key ally of Kenya which sees Jubaland as a buffer against Al-Shabaab militants who have staged several bloody attacks across the border.

Kenya has been further drawn in, as it is accused of harbouring a fugitive Jubaland minister who was arrested by Mogadishu for "serious crimes" but fled from prison in January.

Tensions between the neighbouring countries are also high because of a spat over maritime borders, with possibly lucrative Indian Ocean oil and gas reserves at stake.

The Kenyan government dismissed a Somali foreign ministry statement last month that it was interfering in Mogadishu's internal affairs.

Nairobi said this was "part of a growing and persistent pattern of ill intent to use Kenya as a scapegoat and a tool to justify challenges in Somalia for political reasons."

Nairobi in its statement urged Somalia's federal and regional governments to focus on defeating the Al-Qaeda-linked Shabaab.

Observers say that the myriad feuds between the fragile government in Mogadishu and its federal states is a major obstacle to fighting the Islamists.

Kenya accuses Somali army of 'unwarranted attack' on border town

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakenya si mtoke muwachie nchi yao..?
Penye moto hapakosi Moshi, mwanzo wa ngoma ni lele, na ukiona mtoto wa Simba anakushambulia, ni wazi kwamba mama yake yupo karibu sana.

Ile vita ya Ethiopia na Kenya kwa kupitia mgongo wa serikali ya Mogadishu na ile ya Jibaland imeanza kwa nguvu sana hapo jana, baada ya vikosi vya Serikali ya Mogadishu kuvishambulia na kuvilazimisha kuvuka mpaka na kuingia Kenya ili kujificha, kitendo kilichosababisha Majeshi ya Mogadishu kuishambulia Kenya. Je Kenya itajibu mapigo au itafyata mkia kama kawaida yake?


====

Kenya accuses Somali army of 'unwarranted attack' on border town

Nairobi. Kenya on Wednesday accused Somalia of an "unwarranted attack" on the frontier town of Mandera, during heavy fighting over the border between government and regional forces.

Already fraught tensions between Nairobi and Mogadishu have soared in recent days, with both sides issuing strongly worded statements accusing each other of encroaching on border territory.

Temperatures rose further after heavy fighting erupted on Monday in the Somali border town of Bulohawo between Somali government troops and forces from the semi-autonomous region of Jubaland.

Lawmakers from the nearby Kenyan town of Mandera told AFP on Monday the fighting was so intense it caused residents there to flee and take shelter.

And a Kenyan government statement condemning "violations of the country's territorial integrity and sovereignty" appeared to indicate that Somali forces had crossed into Mandera during the battle.

The statement said that the "foreign soldiers in flagrant breach and total disregard of international laws and conventions engaged in aggressive and belligerent activities by harassing and destroying properties of Kenyan citizens living in the border town of Mandera.

"This action amounts to an unwarranted attack by foreign soldiers with the intention of provoking Kenya."

The fighting in Somalia is the latest instance of tensions between Mogadishu and its regional governments.

Jubaland authorities in August accused Mogadishu of interfering in its election and seeking to oust the incumbent president Ahmed Madobe and get a loyalist in power to increase its control.

Madobe, who was re-elected, is a key ally of Kenya which sees Jubaland as a buffer against Al-Shabaab militants who have staged several bloody attacks across the border.

Kenya has been further drawn in, as it is accused of harbouring a fugitive Jubaland minister who was arrested by Mogadishu for "serious crimes" but fled from prison in January.

Tensions between the neighbouring countries are also high because of a spat over maritime borders, with possibly lucrative Indian Ocean oil and gas reserves at stake.

The Kenyan government dismissed a Somali foreign ministry statement last month that it was interfering in Mogadishu's internal affairs.

Nairobi said this was "part of a growing and persistent pattern of ill intent to use Kenya as a scapegoat and a tool to justify challenges in Somalia for political reasons."

Nairobi in its statement urged Somalia's federal and regional governments to focus on defeating the Al-Qaeda-linked Shabaab.

Observers say that the myriad feuds between the fragile government in Mogadishu and its federal states is a major obstacle to fighting the Islamists.

Kenya accuses Somali army of 'unwarranted attack' on border town

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vita vilikuwa kati ya SNA(Somalia National Army) na vikosi vya serikali ya Sheikh Madobe wa Jubbaland. Jifunze kusoma kiingereza kwanza. Wasomalia wanapigana na kuuana wao wenyewe kwa wenyewe ukoo mmoja dhidi ya ukoo mwingine. SNA walipata training ya kijeshi kutoka kwa KDF na nchi za AMISOM, kabla ya hapo Somalia hawakuwa na vikosi vya kijeshi. Tatizo ni kwamba kwenye vita hivyo Kenya inaunga mkono jirani zetu Jubaland na rais Madobe, sio serikali ya Mogadishu.
 
Vita vilikuwa kati ya SNA(Somalia National Army) na vikosi vya serikali ya Sheikh Madobe wa Jubbaland. Jifunze kusoma kiingereza kwanza. Wasomalia wanapigana na kuuana wao wenyewe kwa wenyewe ukoo mmoja dhidi ya ukoo mwingine. SNA walipata training ya kijeshi kutoka kwa KDF na nchi za AMISOM, kabla ya hapo Somalia hawakuwa na vikosi vya kijeshi. Tatizo ni kwamba kwenye vita hivyo Kenya inaunga mkono jirani zetu Jubaland na rais Madobe, sio serikali ya Mogadishu.
Soma maelezo yangu vizuri, acha kuwa mjinga, nimeeleza vizuri kila kitu katika hayo maelezo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vita vilikuwa kati ya SNA(Somalia National Army) na vikosi vya serikali ya Sheikh Madobe wa Jubbaland. Jifunze kusoma kiingereza kwanza. Wasomalia wanapigana na kuuana wao wenyewe kwa wenyewe ukoo mmoja dhidi ya ukoo mwingine. SNA walipata training ya kijeshi kutoka kwa KDF na nchi za AMISOM, kabla ya hapo Somalia hawakuwa na vikosi vya kijeshi. Tatizo ni kwamba kwenye vita hivyo Kenya inaunga mkono jirani zetu Jubaland na rais Madobe, sio serikali ya Mogadishu.
ati KDF trained SNA wacha ujinga nyie mko na Jubaland!
 
Penye moto hapakosi Moshi, mwanzo wa ngoma ni lele, na ukiona mtoto wa Simba anakushambulia, ni wazi kwamba mama yake yupo karibu sana.

Ile vita ya Ethiopia na Kenya kwa kupitia mgongo wa serikali ya Mogadishu na ile ya Jibaland imeanza kwa nguvu sana hapo jana, baada ya vikosi vya Serikali ya Mogadishu kuvishambulia na kuvilazimisha kuvuka mpaka na kuingia Kenya ili kujificha, kitendo kilichosababisha Majeshi ya Mogadishu kuishambulia Kenya. Je Kenya itajibu mapigo au itafyata mkia kama kawaida yake?


====

Kenya accuses Somali army of 'unwarranted attack' on border town

Nairobi. Kenya on Wednesday accused Somalia of an "unwarranted attack" on the frontier town of Mandera, during heavy fighting over the border between government and regional forces.

Already fraught tensions between Nairobi and Mogadishu have soared in recent days, with both sides issuing strongly worded statements accusing each other of encroaching on border territory.

Temperatures rose further after heavy fighting erupted on Monday in the Somali border town of Bulohawo between Somali government troops and forces from the semi-autonomous region of Jubaland.

Lawmakers from the nearby Kenyan town of Mandera told AFP on Monday the fighting was so intense it caused residents there to flee and take shelter.

And a Kenyan government statement condemning "violations of the country's territorial integrity and sovereignty" appeared to indicate that Somali forces had crossed into Mandera during the battle.

The statement said that the "foreign soldiers in flagrant breach and total disregard of international laws and conventions engaged in aggressive and belligerent activities by harassing and destroying properties of Kenyan citizens living in the border town of Mandera.

"This action amounts to an unwarranted attack by foreign soldiers with the intention of provoking Kenya."

The fighting in Somalia is the latest instance of tensions between Mogadishu and its regional governments.

Jubaland authorities in August accused Mogadishu of interfering in its election and seeking to oust the incumbent president Ahmed Madobe and get a loyalist in power to increase its control.

Madobe, who was re-elected, is a key ally of Kenya which sees Jubaland as a buffer against Al-Shabaab militants who have staged several bloody attacks across the border.

Kenya has been further drawn in, as it is accused of harbouring a fugitive Jubaland minister who was arrested by Mogadishu for "serious crimes" but fled from prison in January.

Tensions between the neighbouring countries are also high because of a spat over maritime borders, with possibly lucrative Indian Ocean oil and gas reserves at stake.

The Kenyan government dismissed a Somali foreign ministry statement last month that it was interfering in Mogadishu's internal affairs.

Nairobi said this was "part of a growing and persistent pattern of ill intent to use Kenya as a scapegoat and a tool to justify challenges in Somalia for political reasons."

Nairobi in its statement urged Somalia's federal and regional governments to focus on defeating the Al-Qaeda-linked Shabaab.

Observers say that the myriad feuds between the fragile government in Mogadishu and its federal states is a major obstacle to fighting the Islamists.

Kenya accuses Somali army of 'unwarranted attack' on border town

Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha kupoteza watu na propaganda za kijinga .SNA hawakuvuka mpaka their point of contact was Bula Hawo (Border Point -1) (Somalia ) but the effect of their fire could be felt in Mandera that's why kdf shelled them .
Infact SNA lost the fight if we were to count the losses.
2 Jubaland Security Forces (JSF) Troops KIA while 7 SNA Troops KIA .
 
ati KDF trained SNA wacha ujinga nyie mko na Jubaland!
Mjinga ni wewe ambaye unaruka ruka kwenye masuala ambayo huna ufahamu kuyahusu. Ras Kamboni Brigade ya rais Madobe wa Jubaland ni moja ya militia ambazo ziliunganishwa ndio zikaitwa SNA(Somalia National Army). SNA walipata mafunzo kutoka kwa nchi zote za AMISOM, hadi Burundi na Djibouti pia. Hivi vita vya Somalia na Jubbaland ni vya mbwa kala mbwa. Ras Kamboni Brigade wa Jubaland walijiondoa kwa SNA baada ya utata wa uchaguzi uliopita kule Jubaland na sasa wanajiita JSF(Jubaland Security Forces) na ndio hawa hawa ambao wanapigana na 'serikali kuu', yaani Somalia. Somalia Is a Country Without an Army
 
Wacha kupoteza watu na propaganda za kijinga .SNA hawakuvuka mpaka their point of contact was Bula Hawo (Border Point -1) (Somalia ) but the effect of their fire could be felt in Mandera that's why kdf shelled them .
Infact SNA lost the fight if we were to count the losses.
2 Jubaland Security Forces (JSF) Troops KIA while 7 SNA Troops KIA .
Soma pargraph #1 na # 5 utapata jibu.
"And a Kenyan Government's statement condemning violations of the country's territorial intergrity......."

Hahahaha, mumeanza kuogopa vita na Ethiopia sio?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vita vilikuwa kati ya SNA(Somalia National Army) na vikosi vya serikali ya Sheikh Madobe wa Jubbaland. Jifunze kusoma kiingereza kwanza. Wasomalia wanapigana na kuuana wao wenyewe kwa wenyewe ukoo mmoja dhidi ya ukoo mwingine. SNA walipata training ya kijeshi kutoka kwa KDF na nchi za AMISOM, kabla ya hapo Somalia hawakuwa na vikosi vya kijeshi. Tatizo ni kwamba kwenye vita hivyo Kenya inaunga mkono jirani zetu Jubaland na rais Madobe, sio serikali ya Mogadishu.
Na ndio maana hao jubaland wakapigwa wakakimbilia kenya, sasa mlishindwaje kusisupport jubaland na nyie ndio mliwasaidia kuianzisha, mtakoma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom