OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Wadau,
Wazee wa kazi aka majangili wamekuja na nguvu mpya. Usiku wa jana wamesha uwa faru Serengeti kusini moru.
Ni juzi tu tumesikia tembo wamekaria kwisha,hatuja kaa vizur wamehamia kwenye faru.
Swali la msingi la kujiuliza: Hawa faru wa Serengeti wa mefungwa transmita kuhakikisha wna wamonita muda wote chini ya ulinzi mkali wa askari wa wanyama pori wakiwa na silaha za kisasa pamoja na magari special pamoja na mahema? Mahema haya hutumika kupiga kambi kila faru anaposogeza hatua na wao wanasogea nao.
Faru hawa wmekuwa wakilindwa zaid ya ikulu kwan askari wa wnyama pori wanapokuw wana shifti yule anaye ingia lindoni wanahakikisha wamewaona faru ndipo wasaini kitabu ndio warusiwe kutoka; kama faru hajaonekna we uliyekuwa unatoka kwenda mapumzikoni huondoki mpaka faru ameonekana.sasa naishauri serikali tuombe nguvu kutoka nje kwn hii imeshavunja rekodi,huko tunako elekea itafka mahali kuna kizaz hakitakuja kuona tembo na faru
Wazee wa kazi aka majangili wamekuja na nguvu mpya. Usiku wa jana wamesha uwa faru Serengeti kusini moru.
Ni juzi tu tumesikia tembo wamekaria kwisha,hatuja kaa vizur wamehamia kwenye faru.
Swali la msingi la kujiuliza: Hawa faru wa Serengeti wa mefungwa transmita kuhakikisha wna wamonita muda wote chini ya ulinzi mkali wa askari wa wanyama pori wakiwa na silaha za kisasa pamoja na magari special pamoja na mahema? Mahema haya hutumika kupiga kambi kila faru anaposogeza hatua na wao wanasogea nao.
Faru hawa wmekuwa wakilindwa zaid ya ikulu kwan askari wa wnyama pori wanapokuw wana shifti yule anaye ingia lindoni wanahakikisha wamewaona faru ndipo wasaini kitabu ndio warusiwe kutoka; kama faru hajaonekna we uliyekuwa unatoka kwenda mapumzikoni huondoki mpaka faru ameonekana.sasa naishauri serikali tuombe nguvu kutoka nje kwn hii imeshavunja rekodi,huko tunako elekea itafka mahali kuna kizaz hakitakuja kuona tembo na faru