Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Kuna habari kuwa majambazi yapatayo 7 yamevamia kituo cha mafuta nje kidogo ya mji wa Bukoba eneo la Kagondo, mnamo saa mbili usiku wa Leo na kumuua mlinzi na mmiliki wa kituo kwa risasi.
Mmiiki wa kituo mwenye asili ya kiarabu kajulikana kwa jina moja la Maburuki ambaye ni mzaliwa wa Karagwe.
Inasemekana majambazi hao walikwenda kituoni kama wateja na walipomuona mlinzi akiwa na bunduki walimpiga risasi na kufa papo hapo huku wakimpiga risasi na mmiliki aliyekuwa ofisini kwake ambaye alikufa baadaye alipofikishwa hospital.
Mmiiki wa kituo mwenye asili ya kiarabu kajulikana kwa jina moja la Maburuki ambaye ni mzaliwa wa Karagwe.
Inasemekana majambazi hao walikwenda kituoni kama wateja na walipomuona mlinzi akiwa na bunduki walimpiga risasi na kufa papo hapo huku wakimpiga risasi na mmiliki aliyekuwa ofisini kwake ambaye alikufa baadaye alipofikishwa hospital.