Teslarati
JF-Expert Member
- Nov 21, 2019
- 1,735
- 6,796
Kwanza huwezi kuwa hauhudumii mtoto wako na ukajiita mwanaume, wewe ni mvulana bado.
Yaani kama hujafikia level ya kuwa responsible kwa outcomes za matendo yako ikiwemo kidinya papuchi wewe huna sifa za kuwa mwanaume kamwe.
Hapa siongelei wanaume wanaojua kwamba wamesingiziwa watoto lkn wale ambao hawahudumii watoto kwa sababu za kukomoana na mama mtoto basi ujue wewe ni mwanaume, no mvulana mpuuzi sana.
Mimi na kupenda kuchakata kote nahudumia kama ikitokea nimezalisha.
Kuna sehem fln huwa naenda kula sasa walikua na kabinti kapya, binti ana heshima balaa. Nilimpenda ila sio kwa mapenzi, nikawa namuachia tips tu kama akinihudumia siku hio.
Leo kaniletea msosi ofisini ndo nikajua kumbe ana mtoto, kumuuliza ikabidi anipe story nzima. Kuna mpuuzi alimrubuni, masikin binti akiwa CBE jamaa likaweka mimba, binti akataka kutoa ila akaogopa afya yake. Mtoto kafanana na huyo jamaa lkn jamaa lilivyo lipuuzi halitaki kuhudumia.
Hawa mabinti akili zao ni ndg, lkn tusitumie hio kuwaumiza viumbe wasio na hatia.
Wewe fala kama upo humu bora uanze kuhudumia mapema sababu wiki ijayo utaitwa ustawi wa jamii, na hapa nipo namtafuta boss wako sababu tyr nina taarifa zako.
Binti wa watu anateseka hadi kaacha chuo anahudumia hoteli kulea mtoto wako.
Yaani kama hujafikia level ya kuwa responsible kwa outcomes za matendo yako ikiwemo kidinya papuchi wewe huna sifa za kuwa mwanaume kamwe.
Hapa siongelei wanaume wanaojua kwamba wamesingiziwa watoto lkn wale ambao hawahudumii watoto kwa sababu za kukomoana na mama mtoto basi ujue wewe ni mwanaume, no mvulana mpuuzi sana.
Mimi na kupenda kuchakata kote nahudumia kama ikitokea nimezalisha.
Kuna sehem fln huwa naenda kula sasa walikua na kabinti kapya, binti ana heshima balaa. Nilimpenda ila sio kwa mapenzi, nikawa namuachia tips tu kama akinihudumia siku hio.
Leo kaniletea msosi ofisini ndo nikajua kumbe ana mtoto, kumuuliza ikabidi anipe story nzima. Kuna mpuuzi alimrubuni, masikin binti akiwa CBE jamaa likaweka mimba, binti akataka kutoa ila akaogopa afya yake. Mtoto kafanana na huyo jamaa lkn jamaa lilivyo lipuuzi halitaki kuhudumia.
Hawa mabinti akili zao ni ndg, lkn tusitumie hio kuwaumiza viumbe wasio na hatia.
Wewe fala kama upo humu bora uanze kuhudumia mapema sababu wiki ijayo utaitwa ustawi wa jamii, na hapa nipo namtafuta boss wako sababu tyr nina taarifa zako.
Binti wa watu anateseka hadi kaacha chuo anahudumia hoteli kulea mtoto wako.