Eti Kuna Wamarekani wanasema kama Mbinguni (peponi) hakutakua kuzuri kama Marekani watagoma kuingia hata kama ni kwa Rehema.....
Dah! Nilikuwana na mpango wa kumiliki lakin nimeghaili mkuu!Kibongo bongo akimilika huo mzigo na hawa ndugu zetu lazima wa kululu
huku ndo peponi ila sisi tulipo ni motoni. amini msiaminiView attachment 51186
Watu wanakula bata humu lakini tukumbuke PUA zetu wote zinaelekea UDONGONI