Sumba-Wanga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 5,349
- 1,224
wanajamvi wenzangu,
Habari za jioni.
Kumekuwa na shida sana ya kupata na kuishi na hawa beki 3. Ni muhimu sana kwa maisha ya familia.
Familia yangu inahangaika sana. watoto bado wadogo, maisha magumu lazima tufanye kazi ili kuweza kusukuma gurudumu mbele.
Kama hiyo haitoshi, beki 3 wa siku hizi wamekuwa hatari sana, wengine wanawafanyia watoto mambo mabaya sana, wengine ni wachawi, mradi ni shida na mkanganyiko kwenye maisha ya familia. wazazi tunahangaika, watoto wanatabika. kazini hakukaliki, basi ni shida tupu.
Wenzetu, unafanyaje?
Mnapataje hawa beki 3?
Habari za jioni.
Kumekuwa na shida sana ya kupata na kuishi na hawa beki 3. Ni muhimu sana kwa maisha ya familia.
Familia yangu inahangaika sana. watoto bado wadogo, maisha magumu lazima tufanye kazi ili kuweza kusukuma gurudumu mbele.
Kama hiyo haitoshi, beki 3 wa siku hizi wamekuwa hatari sana, wengine wanawafanyia watoto mambo mabaya sana, wengine ni wachawi, mradi ni shida na mkanganyiko kwenye maisha ya familia. wazazi tunahangaika, watoto wanatabika. kazini hakukaliki, basi ni shida tupu.
Wenzetu, unafanyaje?
Mnapataje hawa beki 3?