Maisha kwenye sayari ya mars

LIKUD

JF-Expert Member
Dec 26, 2012
15,115
27,105
Wanasayansi wamegundua kuwa kuna maisha katika sayari ya Mars na kuna viumbe wanaishi katika syari hiyo. Inatajwa kuwa, viumbe wanao ishi katika sayari ya Mars wameendelea sana kiteknolojia kuliko binadamu. Ufahamu wao ni mkubwa mara nyingi zaidi ya ule wa wanaadamu. Inatajwa zaidi, serikali ya Marekani kwa kushirikiana na kituo cha anga NASA wanafahamu kuhusu ukweli lakini wanauficha kwa walimwengu kwa sababu ambazo zinajulikana kwa wao wenyewe. U can see for urself, hii ni miongoni mwa mamia ya video zinazo tolewa mitandaoni kuhusu uwepo wa Maisha katika sayari ya Mars.

MARS
 
Inawezekana kabisa Mars ndio paradiso na Dunia ni kuzimu ya watu waliokufa mkuu.
 
Sasa kama wana uwezo mkubwa wa kiteknolojia kuliko sisi wanadamu ni kwa nini wao wasiwe wa kwanza kufika kwenye sayari yetu mpaka sisi tukawagundue wao?

Unajuaje kama hawapo hapa duniani. Au Unataka mpaka uwaone kwa macho?
 
Your views are based on illutions ideas! Where did you got that scientific research? P'se give us a link...! Muongo mkubwa!
 
Sasa kama wana uwezo mkubwa wa kiteknolojia kuliko sisi wanadamu ni kwa nini wao wasiwe wa kwanza kufika kwenye sayari yetu mpaka sisi tukawagundue wao?

Wameanza kuja tangu enzi zile za pontio wa pilato..
 
Your views are based on illutions ideas! Where did you got that scientific research? P'se give us a link...! Muongo mkubwa!

Angalia hapo kwenye uzi wangu kwa chini kuna maandishi ameandikwa MARS just type there and u will see
 
Come on brother hizo video za sci-fi zimejaa kwny mitandao si unakumbuka enzi za BABYLON 5 na star treck kwhy sio kila video unayoiona kwny YouTube ni kweli wenzetu Hollywood wameendelea wanouwezo wa kugeuza igizo kuonekana ni real thing kuhusu Mars project iliyopo ni ya rover robot (curious )aliyetumwa Mars kuchukua picha na data zingine kuhusu maisha ya Mars kwa ujumla and so far imesemekana kunaishara ya kuwepo na maji
 
Sasa kama wana uwezo mkubwa wa kiteknolojia kuliko sisi wanadamu ni kwa nini wao wasiwe wa kwanza kufika kwenye sayari yetu mpaka sisi tukawagundue wao?

Mkuu inawezekana wao walishatugundua, na kama sikosei viumbe hao ni aliens na hata tecknologia yetu inasemekana wao wameichangia sana
 
Come on brother hizo video za sci-fi zimejaa kwny mitandao si unakumbuka enzi za BABYLON 5 na star treck kwhy sio kila video unayoiona kwny YouTube ni kweli wenzetu Hollywood wameendelea wanouwezo wa kugeuza igizo kuonekana ni real thing kuhusu Mars project iliyopo ni ya rover robot (curious )aliyetumwa Mars kuchukua picha na data zingine kuhusu maisha ya Mars kwa ujumla and so far imesemekana kunaishara ya kuwepo na maji
thats true.. umenikumbuaja babylon5.

Mkuu umeicheki na.movie ya Gravity ya Sandra Bullock?
 
Ni rumours za uongo hizo na ni za kupuuzia!

"The Earth is the only planet in the solar system that known to support life"
 
Mleta uzi unaweza ukawa umevaa nguo na wewe kwa macho yako ukaona umevaa nguo ila mmarekani akakwambia kwamba upo uchi bila shaka wewe utaamini kwamba kweli upo uchi jiamini bwana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom