Maisha bila siasa

mabutu1835

JF-Expert Member
Nov 25, 2018
439
729
Katika vitu vinasababisha na kupunguza muda wa kuishi na afya ya akili ni masuala ya siasa. Kila siku ni kusababisha presha na hasira zisizo na maana. Utasikia mafuta yamepanda, umeme umekatika mara bomba la maji litatoa upepo, shule michango nk.

Huku kauli zao zikipandisha zaidi hasira na presha ya mtu mmoja mmoja na jamii kwa ujumla. Kwani haiwezekani kuishi bila kuwasikiliza au kuwafuatilia?

Nisisikilize taarifa ya habari yoyote, hakuna kusoma gazeti, nikitoka kibaruani nyumbani, nikiwasha redio au Tv ni zile za dini tu. Je haiwezekani au nifanyeje?😤😤🤔

Msaada wenu wana JF
 
Maisha ni siasa,na siasa ndio maisha yenyewe.

Ukitaka usisikie wala kufuatilia siasa basi inabidi uondoke duniani (uwe mfu)kinyume na hapo utaendelea kuona,kusikia,kuumia,kufurahia siasa zetu hizi za Africa zilizojaa vimbwenga vya kila aina
 
Dawa ni hii hapa tafuta dawa ya panya meza ya kutosha, baada ya hapo unaachana na siasa mazima hutapata makasiriko tena mkuu.
 
Huwezi kukimbia kivuli chako hata ukienda kukata gogo lazima utumie siasa vinginevyo maji machafu yatakurukia tu.
 
Unaweza kuishi kama Wamasai, wahadzabe msituni. Unajitegemea kwa kila kitu. Lakini kwa sasa hata huko serikali inakufuata na kuuza eneo lako.
 
self control ndio jawabu. Hakikisha unatawala hisia zako. anayekusifia na anyekutukana waone wako sawa tu, wanafanana.

Mwamini na mtumaini Mungu aliyekuleta duniani. ACHA kuweka matumaini yako kwa wanadamu wanaokufa. mwanadamu ambaye akijinyea ananuka!!!!!!


JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Maisha ni siasa,na siasa ndio maisha yenyewe.

Ukitaka usisikie wala kufuatilia siasa basi inabidi uondoke duniani (uwe mfu)kinyume na hapo utaendelea kuona,kusikia,kuumia,kufurahia siasa zetu hizi za Africa zilizojaa vimbwenga vya kila aina
🤔
 
Katika vitu vinasababisha na kupunguza muda wa kuishi na afya ya akili ni masuala ya siasa. Kila siku ni kusababisha presha na hasira zisizo na maana. Utasikia mafuta yamepanda, umeme umekatika mara bomba la maji litatoa upepo, shule michango nk.

Huku kauli zao zikipandisha zaidi hasira na presha ya mtu mmoja mmoja na jamii kwa ujumla. Kwani haiwezekani kuishi bila kuwasikiliza au kuwafuatilia?

Nisisikilize taarifa ya habari yoyote, hakuna kusoma gazeti, nikitoka kibaruani nyumbani, nikiwasha redio au Tv ni zile za dini tu. Je haiwezekani au nifanyeje?😤😤🤔

Msaada wenu wana JF
Kwahiyo usipofuatilia, siku wakipandisha Bei ya Mafuta wewe haitakuhusu?


Au usipofuatilia, siku wakipitisha hapo kwenye nyumba yako wakiuzia mwekezaji pakabomolewa wewe hutahusika??
 
Kwahiyo usipofuatilia, siku wakipandisha Bei ya Mafuta wewe haitakuhusu?


Au usipofuatilia, siku wakipitisha hapo kwenye nyumba yako wakiuzia mwekezaji pakabomolewa wewe hutahusika??
Kwani naweza kufanya nini wakiamua wanasiasa, mahakama na vyombo vingine vya dola ni vyao
 
Kwani naweza kufanya nini wakiamua wanasiasa, mahakama na vyombo vingine vya dola ni vyao
Kwahiyo hapo ulipo wewe siyo chochote Wala lolote. Unaweza kufanywa chochote bila kufanya chochote. Unaweza hata kuinamishwa utachomekwa nyama
 
Kwahiyo hapo ulipo wewe siyo chochote Wala lolote. Unaweza kufanywa chochote bila kufanya chochote. Unaweza hata kuinamishwa utachomekwa nyama
Duh, kwahyo wanasiasa wanainamishaga watu na kuwachomekea au?
 
Back
Top Bottom