masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 15,679
- 12,364
Wala sio ni simple mnoo kuandaaMh mbona adhabu?
Wala sio ni simple mnoo kuandaaMh mbona adhabu?
Sigara zimeandikwa kabisaa ni hatari kwa afya ila hao madokta wanavuta sana na kunywa gongo.9Ukiwafuatisha hao wadokta wa mbadala unaweza ukashindwa kula chochote....Kila kitu kwao ni sumu.
Sigara zimeandikwa kabisaa ni hatari kwa afya ila hao madokta wanavuta sana na kunywa gongo.9
Wakti wa kuyaandaa
Yatoe kava la nje
Kata ndogo ndogo
Loweka kwenye maziwa kidogo
Alafu ya chuje endelea na taratibu zingine za kukarangiza
Ugali na viazi mishipa kuziba?Mmeandika. Ukweli utabaki kuwa elimu inazidi kuongezeka. Sayansi inazidi kupanuka. Uelewa unazidi kuwepo.
Kwa sasa yanayosemwa ni ukweli kuwa ndio uchunguzi wa kisasa.
Nani alijua miaka 50 iliyopita kuwa ugali, wali, viazi vinasababiaha mishipa ya damu kuziba? Nani alijua zamani kuwa chumvi inaongeza presha?
Zamani kukikuwa na vidonda ndugu. Kumbe ni kansa.
Ukweli utabaki ukweli kwamba twende na sayansi ya leo.
Nilidhan cjaelewa vizurUgali na viazi mishipa kuziba?
Hajui analosema huyoNilidhan cjaelewa vizur
Simple logic kama kazi ya maini mwilini ni kuchuja sumu kwenye vyakula, basi ukila maini yenye sumu nayo si yanakuwa chakula, hivyo basi maini yako yataichuja tu hiyo sumu.Mmeandika. Ukweli utabaki kuwa elimu inazidi kuongezeka. Sayansi inazidi kupanuka. Uelewa unazidi kuwepo.
Kwa sasa yanayosemwa ni ukweli kuwa ndio uchunguzi wa kisasa.
Nani alijua miaka 50 iliyopita kuwa ugali, wali, viazi vinasababiaha mishipa ya damu kuziba? Nani alijua zamani kuwa chumvi inaongeza presha?
Zamani kukikuwa na vidonda ndugu. Kumbe ni kansa.
Ukweli utabaki ukweli kwamba twende na sayansi ya leo.
Umemjibu vyemaKila kitu sumu we kuLa tu