mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,493
- 767
Celebrity wetu Maimatha wa Jese amefunga pingu za maisha hivi karibuni kwa siri...na haikuhusisha masupastaa wa kibongo kama ilivyotarajiwa.....
si jamaa yake kafa mda c mrefu? well ni uhuru wake ku move on na maisha yake but wasnt that too short tio move on au ndo tuseme alikua na courage kubwa ya ku move on?
Kunamtu namfahamu kafiwa na mkewe siku mbili baada ya mazishi keshaleta kifaa kingine ndani ya nyumba...tulishangaa lakini sasa tushaozoea. Kuna watu wana moyo sana.
Imbombo ngafu
mhmm! Pengine amefunga ndoa mapema ili mtoto atakaye mzaa asizaliwe nje ya ndoa
uamuzi wa busara...hakutaka iwe ya kifahari na mbwembwe.halafu baada ya siku chache tifu linaanza ndani ya ndoa. alijifunza kutoka kwa waliomtangulia kwenye ndoa...wapo wengi hakuna sababu ya kuwataja.
Duh! Hivi wanaume hawakai eda? Ina maana jamaa hakungoja hata matanga? Mweh!
Celebrity wetu Maimatha wa Jese amefunga pingu za maisha hivi karibuni kwa siri...na haikuhusisha masupastaa wa kibongo kama ilivyotarajiwa.....
Ben nae ni Kaka ? Sina hakika kama anahusika na sie makaka.nami namtakia pia ndoa njema yenye amani na upendo...naamini usiri huo mtautumia pia kuficha siri zenu za vyumbani na mmeo..umekomaa vya kutosha jiepushe na magazeti hayana maana!!..........
bado kaka Ben