Mahusiano ya kimapenzi kabla ya ndoa

shake well before use......kidini haifai ktk surat NISAI,Allah anasema waoweni mabint pasipo waingilia kimwil....
 
mhmhmhmh kuuziwa mbuzi kwenye gunia nani anataka sikuhiz
tuonjane ili tujue utamu ukoje
Kwa mfano mm mwanaume labda nimekuchumbia halafu nikakupa masharti kuwa usubiri mpaka tufunge ndoa kwanza utaniacha
 
Wanatest kama yaliyomo yamo.

Siku hizi hata wauza karanga kabla ya kukuuzia wanakupa za offer za kuonja kidogo.

Usipoona tamu unaacha kununua.
 
No way of thinking or doing, however ancient, can be trusted without proof.
 
Back
Top Bottom