Mahusiano ya kidiplomasia kati ya Tanzania na Israel

Thanx kwa kunielewa,,waisrael kama wangekuwepoi tanzania,basi tunekuwa na migodi mingi,viwanda vya kuprocess madini hukuhuku na kuleta ajira na kodi kubwa tofauti na wazungu ama waingereza ambao wanakuchukulia resources zako kwa manufaa ya nchi zao
If so_nimekupata mkuu,..
 
hivi kuwa na mahusiano mazuri na israel ndio kufanikiwa kisiasa na kibiashara!!!!wacha kupandikiza fikra mbovu katika jamii,si tatizo kuwa na uhusiano na israel na kufungua ubalozi,lakini kufungamana nao sio sharti la kufanikiwa kwetu,watu wangapi huko israel wamejichoma moto katika miezi ya karibuni kwa kulilia hali ngumu ya maisha jiulize ni watu wangapi huko huko israel ni masikini wa mwisho!!! leo mtanzania anakwambia huko ndiko kulikobarikiwa,askofu tunaheshimu cheo chako ila wazo lako napingana nalo 100%
 
Mkuu huwa sibishani na watu wanaoendeshwa kwa hisia. Hivi nikuulize kama anacho dai huyu mchungaji ingekua kweli leo hii baada ya Wajerumani kuwaua Wayahudi zaidi ya milioni 6 wakati wa vita kuu ya pili ingekua uchumi mkubwa kuliko wote Ulaya? Au wengine chochote mnacho ambiwa mnaamini tu? Naongezea kama na wewe una imani hiyo you are also stupid.

Narudia tena kusema u a very stupid, maana unatukana tu na kitu huna uhakika nacho!! Kwa taarifa yako wajeruman waliomba msamaha kuhusu hyo issue na ndo maana wapo njema mpaka leo. Acha kubisha kitu usichokijua, huo ni zaidi ya ujingaa!! Mwambie na huyo mjinga mwenzio igwe
 
ukizungumza kitu zungumza kwa uwelewa mpaka na ufafanuzi kwa mifano:
bwana askofu kufungamana na china ndio msingi wa maendeleo katika nchi masikini kama yetu kwa sababu
1:miaka ya nyuma ni wachache waliokuwa wakimiliki honda ya mjapan sasa hivi karibia kila nyumba utakuta kuna piki piki ya kichina kutokana na bei yake kuwa nafuu sana.
2:vijana wengi sana wamejiajiri au kuajiriwa katika kazi ya boda boda hivyo kupunguza idadi ya vijana wasiokuwa na kazi mitaani na vibaka.
3:marumaru za spain na italy tulikuwa hatuna uiwezo wa kununua sasa mchina karahisisha na anatengeneza hapa hapa
4:simu za nokia watanzania wengi walikuwa hawawezi kumudu bei yake mpaka mchina alivyotoa za kwake ndio ikawa neema kwa watanzania wa kipato cha kati na chini sasa hivi hata muuza nyanya nae ana simu
5:kuna viwanda vingi sana katika miaka ya karibuni vimeanzishwa na wachina vikitengeneza vyakula,mahitaji ya kila siku kama vile(pampers na free style.....),vifaa vya ujenzi,na asilimia kubwa ya vitu hivi vilikuwa vinatoka nje sasa wachina wanavizalisha hapa hapa tanzania
6:barabara nyingi zilizojengwa hapa tanzania kwa kiwango cha lami ni kwa mikopo ya nchi za nje,na china ni nchi pekee yenye mkopo wenye masharti nafuu.
7:wachina wameleta dawa mbali mbali zenye kutibu na kwa bei poa
8:hawana kujivuna saaana kama vile wazungu wahindi waaarabu wao ni watu wa kujichanganya mpaka utahisi ni kama mtanzania mwenzako
nani hapo ndio mkombozi kwa mtanzania???!!!
hatutaki kusoma,tunafeli masomo,tukifeli maisha tunasema wachina wamebana kila kona!!!kumbe kichani zero na kupigana kimaisha hatutaki,wekeni usharobaro pembeni,kazeni nyuzi mafanikio yetu yapo mikononi mwetu si kwa muisrael wala mmarekani mshirika bora na mwenye uchungu wa kukusaidia ni yule anaejishusha ili kukusaidia wewe(unaehitaji msaada)
 
Narudia tena kusema u a very stupid, maana unatukana tu na kitu huna uhakika nacho!! Kwa taarifa yako wajeruman waliomba msamaha kuhusu hyo issue na ndo maana wapo njema mpaka leo. Acha kubisha kitu usichokijua, huo ni zaidi ya ujingaa!! Mwambie na huyo mjinga mwenzio igwe

Wewe ndio kiongozi wa mamburula mkuu,...Tanzania ni maskini sababu ya watu wenye mawazo ya hovyo na butu kama ya kwako..take or leave it.
 
ukizungumza kitu zungumza kwa uwelewa mpaka na ufafanuzi kwa mifano:
bwana askofu kufungamana na china ndio msingi wa maendeleo katika nchi masikini kama yetu kwa sababu
1:miaka ya nyuma ni wachache waliokuwa wakimiliki honda ya mjapan sasa hivi karibia kila nyumba utakuta kuna piki piki ya kichina kutokana na bei yake kuwa nafuu sana.
2:vijana wengi sana wamejiajiri au kuajiriwa katika kazi ya boda boda hivyo kupunguza idadi ya vijana wasiokuwa na kazi mitaani na vibaka.
3:marumaru za spain na italy tulikuwa hatuna uiwezo wa kununua sasa mchina karahisisha na anatengeneza hapa hapa
4:simu za nokia watanzania wengi walikuwa hawawezi kumudu bei yake mpaka mchina alivyotoa za kwake ndio ikawa neema kwa watanzania wa kipato cha kati na chini sasa hivi hata muuza nyanya nae ana simu
5:kuna viwanda vingi sana katika miaka ya karibuni vimeanzishwa na wachina vikitengeneza vyakula,mahitaji ya kila siku kama vile(pampers na free style.....),vifaa vya ujenzi,na asilimia kubwa ya vitu hivi vilikuwa vinatoka nje sasa wachina wanavizalisha hapa hapa tanzania
6:barabara nyingi zilizojengwa hapa tanzania kwa kiwango cha lami ni kwa mikopo ya nchi za nje,na china ni nchi pekee yenye mkopo wenye masharti nafuu.
7:wachina wameleta dawa mbali mbali zenye kutibu na kwa bei poa
8:hawana kujivuna saaana kama vile wazungu wahindi waaarabu wao ni watu wa kujichanganya mpaka utahisi ni kama mtanzania mwenzako
nani hapo ndio mkombozi kwa mtanzania???!!!
hatutaki kusoma,tunafeli masomo,tukifeli maisha tunasema wachina wamebana kila kona!!!kumbe kichani zero na kupigana kimaisha hatutaki,wekeni usharobaro pembeni,kazeni nyuzi mafanikio yetu yapo mikononi mwetu si kwa muisrael wala mmarekani mshirika bora na mwenye uchungu wa kukusaidia ni yule anaejishusha ili kukusaidia wewe(unaehitaji msaada)

Heri hata hoja yako mkuu_ingawa nayo haina mshiko ni better kuliko hii hoja mfu ya Israel
 
Mahusiano ya namna gani?Tatizo hawa jamaa wanaumauma maneno sana ili eti wanaonekane wana uwezo wa kuwafikirisha

watu kifikra.Hizi habari za kinabii za hawa jamaaa ambao nyumbani kwake/kwao ndio kanisa lilipo,hii si ibada ni biashara ya

maneno yenye taswira ya neno la Mungu.

Kwa sasa ipo haja ya kutizama namna iliyo bora ya kudhibiti mifumuko ya dini isiyo rasmi.
 
Mahusiano ya namna gani?Tatizo hawa jamaa wanaumauma maneno sana ili eti wanaonekane wana uwezo wa kuwafikirisha

watu kifikra.Hizi habari za kinabii za hawa jamaaa ambao nyumbani kwake/kwao ndio kanisa lilipo,hii si ibada ni biashara ya

maneno yenye taswira ya neno la Mungu.

Kwa sasa ipo haja ya kutizama namna iliyo bora ya kudhibiti mifumuko ya dini isiyo rasmi.

Well said....
 
tufanye kazi kwa bidii, taifa liwe na mipango inayotekelezeka. Tusitoe wala kupokea rushwa na tuache ubinafsi. Na kila mmoja amtegemee mungu hapo tutafika wadau.

Haya ni maneno yenye hekima na busara kubwa,...hakika tukitenda na kuenenda kwenye haya uliyoyataja tutaendelea sana mkuu
 
dini na siasa wapi na wapi???!!!
askofu beba msalaba kanisani na waachie siasa wana siasa,kama vile mashekhe wa uamsho kina issa ponda tunavyowaomba waendelee kukemea maovu yaliyokatazwa na dini zao kama vile,uzinzi na .......................... waachieni siasa wana siasa askofu utasema tufungamane na israel tupate mafanikio,atakuja sheikh atasema tufungamane na saudi arabia kwa kuwa ni taifa lililobarikiwa mpasuko unaanza hapo!!!!!
kama kuna mafanikio nenda wewe na waumini wako,serekali na viongozi wake wanauwelewa mkubwa sana na wakutosha juu ya kuendesha nchi hii na ndio maana wapo madarakani!!!
 
Huyu jamaa .si Ndio anaandaa mizukule Kule kijijini kimage bagamoyo....
 
Mwanzilishi wa google-Myahudi
Mwanzilishi wa facebook-Myahudi

Na mambo mengi tu.
 
Mahusiano ya namna gani?Tatizo hawa jamaa wanaumauma maneno sana ili eti wanaonekane wana uwezo wa kuwafikirisha

watu kifikra.Hizi habari za kinabii za hawa jamaaa ambao nyumbani kwake/kwao ndio kanisa lilipo,hii si ibada ni biashara ya

maneno yenye taswira ya neno la Mungu.

Kwa sasa ipo haja ya kutizama namna iliyo bora ya kudhibiti mifumuko ya dini isiyo rasmi.

Nakupa LIKE kubwaaaaa. Big up.
 
Back
Top Bottom