Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,175
Shkamoo babu lao.
Jamani hiyo ndiyo kawaida ya binadamu..."Kipya kinyemi..."
Mambo ya mitandao ni mapya kwa jamii zote na kwa hiyo watu bado wanajifunza...
Waache wachafuke kwani, "wasipochafuka watajifunzaje"? Ila baada ya hapo lazima watajua mahali salama pa kuchezea!
Babu DC!!