Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
Sawa bosihuo mfano wako ni wa kise...ng sana
Sawa bosihuo mfano wako ni wa kise...ng sana
Kabisa MkuuConcern yangu sio lugha bali content. Wametuaibisha kama Taifa. Shadow Foreign Minister ameonyesha kuwa na uelewa mdogo sana wa masuala ya region na mechanisms zilizopo ndani ya EAC kama EACJ etc Pili, kuongelea negatively heads of State wa nchi nyingine wakati hawakuwa subject ya mjadala kunaonyesha uchovu wa kidiplomasia wa Waziri kivuli wa Mambo ya Nje. Lakini kubwa ya yote na haya ni mawazo yangu tu- kuisemea nchi yako negatively kwenye Foreign Media tena ya nchi shindani na ya kwako ni kukosa uzalendo. I can imagine wanayosema kwenye vikao vya ndani na rafiki zao wa nje.
Mtangazaji ana maswali ya kawaida tu na naona hakufanya utafiti kuhusu tukio na crew yake nzima. Hivi uhuru tumepata 1962?
Hana shida lema ameongea vzr tu....Arusha tumeangushwa na mzee wa ze... Ze...
Hizo ni gape filler hazina shida kwenye spoken English..... Yuko vzr LemaMzee wa actually
Aisee kila ninapotaka kuongea maneno yananikatikia kama luku, ivo nimeamua kukichukia na siongei kwenye hadharaa kwa gharama yyte.Kwani na wewe Kimombo hakipandi mkuu,pole.Hiyo ni shida ya WaTz wengi,uchakachuaji wa mitaala na
Kayumba vimeharibu sana mambo.
Lakini mbona kama wameresond maswali vzr tu..... Hawawezi kwenda deeper due to muda mfupi na maswali waloulizwa na dada..... Hebu tuwe honest they did it nicely.....Concern yangu sio lugha bali content. Wametuaibisha kama Taifa. Shadow Foreign Minister ameonyesha kuwa na uelewa mdogo sana wa masuala ya region na mechanisms zilizopo ndani ya EAC kama EACJ etc Pili, kuongelea negatively heads of State wa nchi nyingine wakati hawakuwa subject ya mjadala kunaonyesha uchovu wa kidiplomasia wa Waziri kivuli wa Mambo ya Nje. Lakini kubwa ya yote na haya ni mawazo yangu tu- kuisemea nchi yako negatively kwenye Foreign Media tena ya nchi shindani na ya kwako ni kukosa uzalendo. I can imagine wanayosema kwenye vikao vya ndani na rafiki zao wa nje.
The best way then is that, Someone should use a language that he is comfortable with. So as to AVOID sideshows that can lead to an embarassment scenario.
Tunakujua wewe unaongea English ukiwa Bar tu.unapata 1 baridi 1 motoNa wao kwann wasichague kuongea tu swahili, kutafuta kuumbuka kwa maksudi. Mi siongei English kwenye media ng'ooo.
Umesema vema mkuuThe best way then is that, Someone should use a language that he is comfortable with. So as to AVOID sideshows that can lead to an embarassment scenario.
All in all nothing was lost.
The message was delivered to whoever cared to listen.
Jitahidi kufatilia magazeti makubwa ya kimataifa ndiyo utaelewaLondon kumaanisha England?
Kwa hiyo shambulizi la ugaidi kule Manchester lilitokea London, siyo?
Goodness gracious!!!
Wewe hujui hata kusalimia unaponda nini sasa? Wenzio wameweza kwa viwango vya kimataifa. Natama i nione mkulu akibeba interview kama hii kama hajahamia kiswahiliNa wao kwann wasichague kuongea tu swahili, kutafuta kuumbuka kwa maksudi. Mi siongei English kwenye media ng'ooo.
Sasa aongee mkuu wao wa nchi uone vioja!
mi naona muda ungeongezwa hata dk 10 mambo yangeharibika sanaLakini mbona kama wameresond maswali vzr tu..... Hawawezi kwenda deeper due to muda mfupi na maswali waloulizwa na dada..... Hebu tuwe honest they did it nicely.....
mkuu labda kama maana ya neno advanced imebadilika hivi karibunini jambo la kawaida kwa mzungumzaji was lugha flani kupenda kutumia baadhi ya maneno hata natives wa kiswahili sometimes unakuta kuna neno analitumia sana kitaalam inaitwa idiolect.... hata Donald trump kuna baadhi ya maneno anapenda sana kuyatumia ...in fact hao speakers ni advanced in speaking English
mkuu kuna kitu uelewi hapa,hatuna tatizo na mtu kutokuelewa lugha fulani,tatizo ni kutokujua lugha fulani halafu bado unafanya interview kwa lugha hiyo,Lema Na Msigwa wanafahamu kiiengereza ,lkn kiiengereza chao hakijafikia hatua ya kufanya interviewMkuu Mkulu mwenyewe baba mwenyezi mbona naye dola kashika lakini kizungu chake ndiyo hicho tena na bora hawa mara mia? Acha chuki binafsi. Pamoja na mapungufu yao bado wana afadhali sana tu kuliko hao waliokalia viti sasa hivi.
Lema kazingua sana. At least Msigwa anaeleweka ingawa anatumia maeneo ya kawaida sana katika kingereza.
Utaona tofauti kubwa sana kati ya mtangazaji na hao ndugu zetu katika hiyo interview.