Mahojiano ya Msigwa na Lema KTN: Serikali iongeze msisitizo kwenye somo la Kiingereza

message sent and delivered,aliyekuwa anasubiri ung'eng'e aende kwa dereva wa lori.
 
Concern yangu sio lugha bali content. Wametuaibisha kama Taifa. Shadow Foreign Minister ameonyesha kuwa na uelewa mdogo sana wa masuala ya region na mechanisms zilizopo ndani ya EAC kama EACJ etc Pili, kuongelea negatively heads of State wa nchi nyingine wakati hawakuwa subject ya mjadala kunaonyesha uchovu wa kidiplomasia wa Waziri kivuli wa Mambo ya Nje. Lakini kubwa ya yote na haya ni mawazo yangu tu- kuisemea nchi yako negatively kwenye Foreign Media tena ya nchi shindani na ya kwako ni kukosa uzalendo. I can imagine wanayosema kwenye vikao vya ndani na rafiki zao wa nje.
Hivi Tanzania ni mshindani wa Kenya katika lipi ?
 
ooh My God Nimesikiliza, wakati mwingine bora tu kupambana kwa hoja hapahapa nyumbani jamani kuliko kujiaibisha. Yaani sababu ya kusupport huyu au yule ni so weak! ooh my God eti huyu akihamia huku sisi tunamsaport huyu na si sababu ya kuangalia uwezo wake or so. ohh my God!
 
Mahojiano ya Lema na Msigwa ndani ya KTN, nadhani Lema na Msigwa walikuwa wana mambo mengi ya kuiambia dunia lakini ukosefu wa maneno kadhaa ya kiiengereza kumewaficha sana.

Mfano neno dictator uchwara ukiliongea kwa kiingereza linapoteza uzito.

Lema kaongea 'actually' mara 83 kwnye interview ya dk 24.



Tunapotaka kuongelea kiingereza cha Rais inabidi tuangalie kwanza wapi tumekanyaga.

Issue ni kuwa smart ktk kufikisha ujumbe kwa Jamie na sio kujua lugha
 
Yohana akifika Marekani itabidi awe bubu!!!Chezea American English wewe. JPM akutana na njemba ya ki-nigger inatema slang tokea puani unafikiri ataokota kitu....?? Thubutu yake.
Hahaha
Atamuita IGP awakamate kwamba hawana uzalendo na kiswahili hahaha
 
Hivi Tanzania ni mshindani wa Kenya katika lipi ?
Yaani wamejiabisha wao wenyewe, I hope wengi mmeliona hili japo nia yao ilikuwa kuiaibisha nchi na Rais, matokeo yake wamejiaibisha mnoooo. Yaani wakenya wanajiuliza hawa ndio viongozi wa juu wanaotaka kutawala Tanzania?!?!?! I wish ingekuwa Dr. Slaa. Kwa kweli kama mnawapenda viongozi wenu waambieni waishie hapohapo Kenya wasiendelee mbele sijui USA sijui BBC watajiaibisha na si kwa lugha bali kwa content. ooh my God! Hawa ndio Top management ya chama?!?! Are we serious?
 
Yaani wamejiabisha wao wenyewe, I hope wengi mmeliona hili japo nia yao ilikuwa kuiaibisha nchi na Rais, matokeo yake wamejiaibisha mnoooo. Yaani wakenya wanajiuliza hawa ndio viongozi wa juu wanaotaka kutawala Tanzania?!?!?! I wish ingekuwa Dr. Slaa. Kwa kweli kama mnawapenda viongozi wenu waambieni waishie hapohapo Kenya wasiendelee mbele sijui USA sijui BBC watajiaibisha na si kwa lugha bali kwa content. ooh my God! Hawa ndio Top management ya chama?!?! Are we serious?
Slaa alikuwa mtu mwingine yule jamaa,jamaa ana uelewa mkubwa sana
 
Hawa jamaa ni viazi kweli kweli. Kwenye notions content zao hawana ka-intellect hata kidogo. Kiingereza kibovu malalamiko kibao; ni hovyo tu!
halafu weekend hii nilimuona Wenje Nairobi,sijui kwanini wasingemuomba awasaidie kidogo hapo,Wenje huwa ana uelewa sana
 
Hata kiingereza kinatofautiana,sasa hao wameongea kiingereza kipi hapo?

Mkuu, je ni kweli kwamba haujaelewa walichokukuwa wana maanisha?

Mtangazaji kuendelea na maswali mengine, kunaonyesha kwamba wameeleweka.

Kingereza ni kimoja ila kuna tofauti ya LAFUDHI na baadhi ya maneno huandikwa tofauti kulingana na sehemu/Nchi. Mfano USA na UK.

Kama kilivyo Kiswahili cha Tanzania, Kenya, Uganda....
 
Hawa jamaa ni viazi kweli kweli. Kwenye notions content zao hawana ka-intellect hata kidogo. Kiingereza kibovu malalamiko kibao; ni hovyo tu!
halafu weekend hii nilimuona Wenje Nairobi,sijui kwanini wasingemuomba awasaidie kidogo hapo,Wenje huwa ana uelewa sana
 
Huyo dada kachapia. Lissu hakupigwa risasi Dar.

Msigwa na Lema nao wala hawakumrekebisha.

Sijui hawakujua jinsi ya kumsahihisha maana Kizungu nacho bana....kigumu kweli kweli.
Dar kwa lugha nyingine maana yake Tz Fuatilia Hata magazeti ya kiingereza ya hapa nyumbani huita Tz Dar,
Huwa inaaminika Kuwa Mji mkuu Ni kiwakilishi cha Nchi Ni Sawa na Hata ukisoma magazeti ya kimataifa kama Business Times nk kwa mfano kutumia sana neno London kumaanisha England,
Hata hivyo matumizi ya mji mkuu wa nchi kama reference ya Nchi huleta mashiko sana katika lugha na utamaduni wa kiingereza,ndiyo maana Hata wewe imekupa shida na ukahisi mtangazaji kakosea.
 
mnakaaa kuwaponda akina Msigwa na Lema, Niwaambieni ukweli wamejitahidi sana, takataka zote zinazowaponda haziwezi kuongea hata sentensi moja.
Mkumbuke kuwa kufanya makosa ni njia moja ya kujifunza, lakini yote kwa yote nawapongeza wamejitahidi sana.
 
Dar kwa lugha nyingine maana yake Tz Fuatilia Hata magazeti ya kiingereza ya hapa nyumbani huita Tz Dar,
Huwa inaaminika Kuwa Mji mkuu Ni kiwakilishi cha Nchi Ni Sawa na Hata ukisoma magazeti ya kimataifa kama Business Times nk kwa mfano kutumia sana neno London kumaanisha England,
Hata hivyo matumizi ya mji mkuu wa nchi kama reference ya Nchi huleta mashiko sana katika lugha na utamaduni wa kiingereza,ndiyo maana Hata wewe imekupa shida na ukahisi mtangazaji kakosea.

London kumaanisha England?

Kwa hiyo shambulizi la ugaidi kule Manchester lilitokea London, siyo?

Goodness gracious!!!
 
Na wao kwann wasichague kuongea tu swahili, kutafuta kuumbuka kwa maksudi. Mi siongei English kwenye media ng'ooo.
Kwani na wewe Kimombo hakipandi mkuu,pole.Hiyo ni shida ya WaTz wengi,uchakachuaji wa mitaala na
Kayumba vimeharibu sana mambo.
 
Back
Top Bottom