Mahiga asema Tanzania haitambui Jerusalem kuwa mji mkuu wa Israel, baada ya Ndugai kunukuliwa akisema anautambua

Huyo spika kiazi sana, katoka kwao dodoma huko hata hajui athari za kuropoka ropoka.
Anadhani wana wa middle east ni kama chadema ama kina Lisu anaweza kuwapiga shaba na wakanyamaza?

Wazee wa midlle east wanaweza kumuwekea bomu hafi matakoooni bila yeye kujua.

Mwambieni atulizane.

Yeye sio msemaji.
 
Hilo ni jambo lisilowezekana mzee sio kwamba hawapendi ila hawana uwezo wa kuwatoa
 
Nahoji uelewa wa Ndugai kuhusu swala la Diplomasia ya kimataifa.Hivi anadhani ni jambo la kuburuza tu kama anavyofanya Bunge la Tanzania. Mambo mengine awaache wenye uelewa wake wayaongelee na kutolea matamko.Yeye aishie zake huko huko Kibaigwa.
 
Tusiingilie huu ujinga hata kidogo, Marekani inaweza kudeal na mataifa ya waislamu sio Tanzania, tusijaribu kabisa kuingilia vita vya wapalestina na waisraeli, sehemu zote mbili ziko backed up na mataifa powerful, tukiingilia tunajiweka kwenye black list ya mataifa ya waislamu mapema sana, soon utaanza kusikia ISIS Tanzania.

Hawajaambiwa watoe tamko kama wanaunga mkono au la, wasijipendekeze. Huyu spika hua anatamka bila kufikiria, sio kitu cha kwanza anasema ovyo, hakuna faida yoyote ile kuliongelea hili swala.
Nakuunga mkono sana mheshimiw
 
Unafiki bana! Kutokutambua ili kufurahisha mataifa ya kiarabu ili hali Waizraeli wameukalia!! Ishu ni siku moja utarudishwa Palestina au sio!!
Ujinga kiwango cha lami, unapinga ilhali wenyewe maisha yanasonga, ukubali ukatae haibadilishi neno
 
Tanzania ni kitu gani mbele za Mungu? Hatuna ubavu wa kupingana na Mungu. Kumbuka Mungu huwatumia wanadamu wema ama wabaya kutimiza haja yake. Jerusalem umekuwa makao makuu ya wayahudi tangu Mfalme Daudi na Solomon.

Katika suala hili ni heri angekaa kimya. Mungu aliuchagua Jerusalem na wayahudi ili apitie ukoo huo kuleta neema, yaani wokovu duniani, kupitia Kristio Yesu. Ndiyo maana aliwabariki watu hawa. Neema ya Mungu haijarishi uovu wa mtu. Humpatia amtakaye. Neema ya Mungu haiji kwa wafuata sheria maana kwanza hawapo. Inakuja kwa waaminio. Wengine wanasema, ooh wayahudi wala hawamtambui Yesu. Ni waovu. Je wamewahi jiuliza. Wangelimpokea, mataifa tungelifikiwa na injili? Wasingelimuua, tungelipataje neema ya msamaha wa dhambi?

Hivyo ilikuwa ni lazima Yesu auwawe ili mataifa ambao hapo awali hatukuwa chaguo la Mungu tuokolewe. Wayahudi wameandaliwa mpango wao. Ipo siku watamkumbuka waliyemchoma, Yesu. Watatubu na kusamehewa. Kila kitu kiko planned na Mungu mwenyewe.

Hata kitendo cha kuanza kurejea Israel kutoka mataifa mbalimbali walikotawanywa na Mungu mwenyewe na hatimaye kuwa Taifa tena 1948 ni mpango wa Mungu kuwarejesha nyumbani kwao ili hatimaye awasafishe maovu yao. Je wakae nyumbani bila Hekalu?

Hapana. Hekalu hili ambalo kitovu chake ni Jerusalem, tena pale pale palipo msikiti, ndipo lilipokuwepo hekalu kabla ya kubomolewa mara kadhaa. Msikiti ulojengwa baada ya wayahudi kutawanywa.
 
Mji mkuu wa nchi hupangwa na serikali ya nchi husika. Sasa taifa la Israel linasema mji mkuu wao ni Jerusalemu, sisi tanzania ni nani mpaka tuwakatalie hilo?

Serikali ya Tanzania inaposema kuwa inautambua mji wa Tel aviv kuwa ndio mji mkuu wa Israel wakati Taifa la Israel lenyewe linasema Jerusalem ndio mji mkuu wao, nini maana yake?
Siku kenya wakisema mji mkuu wetu ni Arusha... balozi zote ziamie hapo.... utalielezeaje hilo... kama suala la malawi na ziwa nyasa lilikuwa mtiani na mpaka sasa bado ni shida...
 
Mkuu, uamuzi wa kuufanya mji wa Jerusalem kuwa makao makuu ya Israel ulikwishapitishwa kitambo, haya yanayoendelea sasa ni siasa tu., hivyo hata spika Job Ndugai anaongea siasa zaidi.

Juzi kwenye sherehe za kuapishwa raisi Kenyatta, waziri mkuu wa Israel Benjamini Netanyahu alihudhuria na pia alikutana na viongozi wengi wa nchi za Afrika katika kutafuta ushirikiano wa kibiashara, lakini kikubwa ni kuwashawishi kuhamia Jerusalem.

Jerusalem ndipo palipo na Bunge la Israel hivyo ni wazi kuwa kila nchi ya Afrika itafuata kilichofanywa na Marekani.

Ni wakati sasa wa mheshimiwa balozi wetu nchini Israel bwana Job Masima kujiandaa kuhamia Jerusalem.
hiyo kitambo ni mwaka gani na nani alipitisha? je ni yerusalem east or west? au yerusalem ipi una izungumzia?
 
Mkuu hapo kumekosekana coordination ya kutafuta kauli moja.

Kuna utaratibu ambao haujatulia wa baadhi ya watu wa serikali kuwa wanatoa kauli tofauti ambazo zinachanganya na pengine kuweza kuleta tafaruku kidogo.

Spika Ndugai alipaswa kujiandaa na jibu kwamba, " I m not the government spokesman on foreign matters, it would be ideal if you asked your questions about President Trump decision to the relevant minister or ministry of foreign affairs."

Kwa Kiswahili, "mimi siyo msemaji wa mambo haya bali ukitaka kupata taarifa zaidi yupo waziri wa mambo ya nje"

Ukimjibu hivyo mwandishi wa habari wa vyombo vya habari vya kimataifa atakuelewa kwamba una uelewa wa michezo ya kidiplomasia.

Ukimwona mwandishi hasa mwanamke na ukaanza kuchekacheka basi unaishia kutoa majibu ambayo yanaitwa kwa kiingereza "misguided".
Huyo job aliulizwa kama job tu nae akajibu kama job na sio kama speakr ila kwa kuwa ana fahamika kama speakr basi ndipo hapo jibu lake limetumika kama linavytumika sasa...
 
Kichaa tu ndio atabisha kuwa Jerusalem so mji mkuu Wa Israel
Yerusalem ipi? west or east? Mambo ya udini na ukabila huwa yanatesa watu sana na huwa wanakuwa watumwa hasa... ukileta Uyesu wa Nazaret ktk Mji wa Yerusalem ndipo shida itaanzia hapo...
 
Yerusalem ipi? west or east? Mambo ya udini na ukabila huwa yanatesa watu sana na huwa wanakuwa watumwa hasa... ukileta Uyesu wa Nazaret ktk Mji wa Yerusalem ndipo shida itaanzia hapo...
Ndugu huwezi kuitenganisha Jerusalem na dini, Yesu na wayahudi. Hiyo siyo Morogoro.
 
Tanzania ni kitu gani mbele za Mungu? Hatuna ubavu wa kupingana na Mungu. Kumbuka Mungu huwatumia wanadamu wema ama wabaya kutimiza haja yake. Jerusalem umekuwa makao makuu ya wayahudi tangu Mfalme Daudi na Solomon. Katika suala hili ni heri angekaa kimya. Mungu aliuchagua Jerusalem na wayahudi ili apitie ukoo huo kuleta neema, yaani wokovu duniani, kupitia Kristio Yesu. Ndiyo maana aliwabariki watu hawa. Neema ya Mungu haijarishi uovu wa mtu. Humpatia amtakaye. Neema ya Mungu haiji kwa wafuata sheria maana kwanza hawapo. Inakuja kwa waaminio. Wengine wanasema, ooh wayahudi wala hawamtambui Yesu. Ni waovu. Je wamewahi jiuliza. Wangelimpokea, mataifa tungelifikiwa na injili? Wasingelimuua, tungelipataje neema ya msamaha wa dhambi? Hivyo ilikuwa ni lazima Yesu auwawe ili mataifa ambao hapo awali hatukuwa chaguo la Mungu tuokolewe. Wayahudi wameandaliwa mpango wao. Ipo siku watamkumbuka waliyemchoma, Yesu. Watatubu na kusamehewa. Kila kitu kiko planned na Mungu mwenyewe.
Hata kitendo cha kuanza kurejea Israel kutoka mataifa mbalimbali walikotawanywa na Mungu mwenyewe na hatimaye kuwa Taifa tena 1948 ni mpango wa Mungu kuwarejesha nyumbani kwao ili hatimaye awasafishe maovu yao. Je wakae nyumbani bila Hekalu? Hapana. Hekalu hili ambalo kitovu chake ni Jerusalem, tena pale pale palipo msikiti, ndipo lilipokuwepo hekalu kabla ya kubomolewa mara kadhaa. Msikiti ulojengwa baada ya wayahudi kutawanywa.
kabla ya Solomon na Daudi kulikuwa na wakina nani? au kulikuwa na mbuga?
 
Tanzania ni kitu gani mbele za Mungu? Hatuna ubavu wa kupingana na Mungu. Kumbuka Mungu huwatumia wanadamu wema ama wabaya kutimiza haja yake. Jerusalem umekuwa makao makuu ya wayahudi tangu Mfalme Daudi na Solomon. Katika suala hili ni heri angekaa kimya. Mungu aliuchagua Jerusalem na wayahudi ili apitie ukoo huo kuleta neema, yaani wokovu duniani, kupitia Kristio Yesu. Ndiyo maana aliwabariki watu hawa. Neema ya Mungu haijarishi uovu wa mtu. Humpatia amtakaye. Neema ya Mungu haiji kwa wafuata sheria maana kwanza hawapo. Inakuja kwa waaminio. Wengine wanasema, ooh wayahudi wala hawamtambui Yesu. Ni waovu. Je wamewahi jiuliza. Wangelimpokea, mataifa tungelifikiwa na injili? Wasingelimuua, tungelipataje neema ya msamaha wa dhambi? Hivyo ilikuwa ni lazima Yesu auwawe ili mataifa ambao hapo awali hatukuwa chaguo la Mungu tuokolewe. Wayahudi wameandaliwa mpango wao. Ipo siku watamkumbuka waliyemchoma, Yesu. Watatubu na kusamehewa. Kila kitu kiko planned na Mungu mwenyewe.
Hata kitendo cha kuanza kurejea Israel kutoka mataifa mbalimbali walikotawanywa na Mungu mwenyewe na hatimaye kuwa Taifa tena 1948 ni mpango wa Mungu kuwarejesha nyumbani kwao ili hatimaye awasafishe maovu yao. Je wakae nyumbani bila Hekalu? Hapana. Hekalu hili ambalo kitovu chake ni Jerusalem, tena pale pale palipo msikiti, ndipo lilipokuwepo hekalu kabla ya kubomolewa mara kadhaa. Msikiti ulojengwa baada ya wayahudi kutawanywa.
Hivi yesu ni Wayerusalem au Nazaret?
 
Tanzania ni kitu gani mbele za Mungu? Hatuna ubavu wa kupingana na Mungu. Kumbuka Mungu huwatumia wanadamu wema ama wabaya kutimiza haja yake. Jerusalem umekuwa makao makuu ya wayahudi tangu Mfalme Daudi na Solomon. Katika suala hili ni heri angekaa kimya. Mungu aliuchagua Jerusalem na wayahudi ili apitie ukoo huo kuleta neema, yaani wokovu duniani, kupitia Kristio Yesu. Ndiyo maana aliwabariki watu hawa. Neema ya Mungu haijarishi uovu wa mtu. Humpatia amtakaye. Neema ya Mungu haiji kwa wafuata sheria maana kwanza hawapo. Inakuja kwa waaminio. Wengine wanasema, ooh wayahudi wala hawamtambui Yesu. Ni waovu. Je wamewahi jiuliza. Wangelimpokea, mataifa tungelifikiwa na injili? Wasingelimuua, tungelipataje neema ya msamaha wa dhambi? Hivyo ilikuwa ni lazima Yesu auwawe ili mataifa ambao hapo awali hatukuwa chaguo la Mungu tuokolewe. Wayahudi wameandaliwa mpango wao. Ipo siku watamkumbuka waliyemchoma, Yesu. Watatubu na kusamehewa. Kila kitu kiko planned na Mungu mwenyewe.
Hata kitendo cha kuanza kurejea Israel kutoka mataifa mbalimbali walikotawanywa na Mungu mwenyewe na hatimaye kuwa Taifa tena 1948 ni mpango wa Mungu kuwarejesha nyumbani kwao ili hatimaye awasafishe maovu yao. Je wakae nyumbani bila Hekalu? Hapana. Hekalu hili ambalo kitovu chake ni Jerusalem, tena pale pale palipo msikiti, ndipo lilipokuwepo hekalu kabla ya kubomolewa mara kadhaa. Msikiti ulojengwa baada ya wayahudi kutawanywa.
Kuikomboa Dunia? Dunia ni Israel pekee au pamoja na palestine nk?
 
Back
Top Bottom