Kagoma Kuwika
Member
- Feb 6, 2009
- 82
- 0
mahari ni shukrani kwa wazazi tu basi na siyo hela inaweza kuwa kitu chochote ambacho wazazi watabaki nacho kama kumbukumbu.
Sema siku hizi watu wamefany mtaji eti mtu anaambiwa mahari milioni moja, ngombe wanne wanaotembea , vitenge doti ishirini hapo kuan ndoa kweli au biashara
kwetu mtoto hasa ikawa 'mweupe', ni ng'ombe 25 to 35! otherwise hujaoa....