Siri Sirini
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 547
- 198
Habari wana jamvi, jamani leo mida ya jioni tunaenda kutoa mahari maeneo fulani kwa kabila la wamakonde, kijana anayetaka kuoa ni mhaya, sasa kituko ni kwamba, huyo mtolewa mahari hayupo, yupo chuo, ukiwauliza ndugu zake kwanini acje hata cku 2 wanasema ana mitihani, sasa me najiuliza, hyo mahari kwanini wasiihairishe mpaka binti arudi? Mana nivyojua cku ya kutoa mahari ndio cku ya kuvishwa pete ya uchumba.
Wana jamvi hii imekaaje? Na wamakonde washajiandaa kupokea ugeni, au unaweza toa mahari bila mhucka kuwepo? Akija kukataa je kuwa hakuiona hyo mahari itakuwaje? Na bwana haruc mtarajiwa amekubali hivyohivyo mana anayempelekesha ni mama yake mdogo, na ndiye mwenye pesa, anaogopa akikataa wanaweza wacende tena, mchango wenu plz, mana me cna hata ham ya kwenda.
Wana jamvi hii imekaaje? Na wamakonde washajiandaa kupokea ugeni, au unaweza toa mahari bila mhucka kuwepo? Akija kukataa je kuwa hakuiona hyo mahari itakuwaje? Na bwana haruc mtarajiwa amekubali hivyohivyo mana anayempelekesha ni mama yake mdogo, na ndiye mwenye pesa, anaogopa akikataa wanaweza wacende tena, mchango wenu plz, mana me cna hata ham ya kwenda.