- Thread starter
- #21
hao ni kama wapo kwa maslahi ya kisiasa tu.uongozi wa wanafunzi hapo chuoni wao wanasemaje kuhusu hiyo kesi?
hao ni kama wapo kwa maslahi ya kisiasa tu.uongozi wa wanafunzi hapo chuoni wao wanasemaje kuhusu hiyo kesi?
Asante sana kaka ushauri wako ni wa afya sana kwa maisha ya hawa wanafunzi, nasema asante na ushauri wako utafanyiwa kazi, asante sana.nendeni HIGH COURT, muombe JUDICIAL REVIEW, fanyeni hivyo kwa kuwatumia ma-advocate!