Hivi sasa kuna usaili unaoendelea kwa ajili ya mahakama za mwanzo, ambapo kigezo kikubwa ni kwaba tofauti na hapo kabla sasa hakimu wa mahakama ya mwanzo anatakiwa kuwa na shahada ya kwanza ya sheria.
Je hii itapunguza ubabaishaji katika mahakama zetu za mwanzo? Ila tukumbuke miundo mbinu bado ni ya zamani!!!
Je hii itapunguza ubabaishaji katika mahakama zetu za mwanzo? Ila tukumbuke miundo mbinu bado ni ya zamani!!!