Hilo hata nashangaa wakafanye auditing ofisini kwake wakipewa akatoroka mikononi mwao TRAitakuwaje?
kasoro kwa akina Bashite na ndege wengine wafananao!Sheria ni msumeno!huu msemo unaaply kipindi hiki cha Magufuli.
Wala sio uonevu.Manji yanayomtokea ni matunda ya uovu wake.The guy is an infidel.Halafuu,unataka kuniambia kwamba hujui Manji alikuwa analindwa na Kikwete?Wewe unaishi nchi gani mkuu?Manji na Kikwete ni Waarabu wa Pemba.Jamaa alifisidi sana kwenye utawala wa Kikwete with impunity.Ila lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho. It is over.Hivi siku zote walikuwa wapi, ina maana manji alikuwa analindwa na JK, huu unaweza kuwa uonevu
waislamu magaidi~~>>>Manji akitoka huko Waislam tunataka aturudishie kiwanja chetu Chang'ombe.......
~~>>>>Malipo ni hapa hapa Jukwaani.
Unaota mchana kweupe wewe.Manji analipwa hapa hapA
Hawana hamu na CCM.Ama kweli matajiri wataishi kama mashetani
Manji mwiz mkubwa huyu kadhulumu sana maskin ikiwemo ardhi
Wamfilisi kukaa ndan hakulet faida
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Walimfanyia ugaidi yule bi mkubwa wako anaejiuza pale kona bar au,,,acha dharau bintiwaislamu magaidi
Unaota mchana kweupe wewe.
Hapo alipo anatamani hata ipatikane dhamana atoroke nchi, we unadhani jela mchezo?
Kama hujawahi kufungwa basi kamtembelee hata jamaa yako aliyeko jela.
sent from Sokoro nkorambokande