Pole mkuu. Mahakama hiyo sio ya mwisho kimaamuzi, bado unayo nafasi ya kupigania haki yako kwa kukata rufaa mahakama ya wilaya ambapo watachambua ushahidi wa pande zote mbili na kutoa haki kwa mwenye haki. Pia kama hautaridhika unweza kukata rufaa mahakama kuu na baadae mahakama ya rufaa.
Nashukuru sana kwa mchango wenu.hapa nipo kwenye mchakato wa kukata rufaa lakin naambiwa ili kupata namba za mafaili ya kesi yangu inanibidi kuandika barua zenye mlolongo mreefu.je ni kweli ili kupata namba za majalada ya kesi yangu natakiwa kuandika barua?
Wewe hata ukikata rufaa bado utashindwa kesi!
Hapo makuyuni hakuna rushwa wewe umeshindwa kujielezea mahakamani!
Wasalimu huko, mimi KWEMALULI ndio kwetu!
Kama vipi ni pm nikupe msaada wa kesi yako!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.