Mahakama ya kadhi ianzie kigogo

OMEGA

JF-Expert Member
Jul 12, 2011
693
300
Watuhumiwa wa kuuza gongo ya sumu:
1.Ramadhani Selestini
2. Salehe Omary
3.Shukrani Malungu
4.Charles Ibrahim[ huyu wampeleke Kisutu]
5.Fadhil Juma
6.Abdalah Mnazi

Marehemu waliokufa kwa kunywa gongo iliyouzwa na watuhumiwa:
1.Juma Abdalah.
2.Mathew Roma[???]
3.Khalid Hamis
4.Mohamed Said
5.Antipa Raphael[???]
6.Hekima Bakari

Kadhi mkuu aanze kwa kuframe charge kwa wa umini wake hao na kuwashtaki kwenye mahakama ya kadhi.Ni nani Kafiri kwa staili hii na sampling hii?Mwenyezi Mungu atuhurumie sana.
 
Back
Top Bottom