Safi sana! Ukombozi uko njiani!
Kamanda wa Ukweli hatakiwi kukata tamaa na vikwazo kwenye safari yeyote ndiyo njia muafaka kuelekea Mafanikio!
Uhuru wa mahakama lazima uheshimiwe hii ndiyo Tanzania, afu alalamike tena mahakama sio huru!
Mbona Habari leo,hii habari hawakuandika?vipi Raia tanzania?je wale maccm waliomwekea pingamizi NEC,asigombe ubunge kwa hoja kuwa alisha hukumiwa,rufaa yao inaendeleaje?
Lakini kuna majaji walipiga za escrow!Kama haki imetendeka sawa tuendelee kuziamini mahakama zetu